The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Watz wengi hawaifuatilii Kenya na wala wengi wao hawaijui ukiacha wa hapa JF especially kwenye huu uzi wa kenyans news, mm mwenyewe kabla ya kujiunga humu nilikuwa sijui chochote kuhusu Kenya, hata leo sijui vingi kuhusu Kenya, siwajui wanasiasa wengi wala wanamuziki au celebrities wa Kenya, siwajui kabisa tofauti na nyinyi Wakenya mnavyoijua Bongo na kuililia.hehehehe....... to my greatest suprizein this video...
i was expecting most tanzanians (say about 75%) to say, 'the country they hate the most is 'kenya' but only one woman among more than 80tzs interviewed, said kenya! i mean only one person 1
see for yourself guyz![]()
Binafsi sijawahi kuwaza kuja Kenya na hakuna nafasi hiyo huko mbeleni cz nnachojua mm ni nchi hatarishi sn kwa afya ya mwanadamu, siwezi kuja huko hata kwa dawa.
in this video...