Jelamashele
Senior Member
- Nov 12, 2022
- 120
- 53
Show me majengo makubwa mmezika hela za wastaafu ambayo yamejaa wapangaji. Kuna vitu kama una akili vinakuwa liabilities na sio kitu ya kusiaidia uchumi au kuwapa watu furaha.
Acha ujinga wewe?wakemya wapo zenj wanafanya kazi hamuwezi. Na umri gani nyie machalii.mnataka danganya kuwa ndioabalozi wa bongo?Zanzibar inaipiga ka Nairobi hands down linapokuja suala la estate.
Kitu gn kimekufanya uje na ID mpya? Si ungekuja na Id ile ile unaogopa nn sasa mbwa weweLabda niwasaidie way wenzangu. Natural resources zote mnazopost hapa kijinga sio fahari Yenu Ila ya Mungu. Na nyie hamjaongeza value yoyote. Mmejikuta hapo km vile samaki na wanyama na ndege wamejikuta. Kwa hiyo tutumie akili kidogo kuondoa aibu.
Jambo jingine muhimu sana sana zaidi ya hayo ma white elephants kwa nchi zote ni hili.
Wote wana punch beyond their reach.. Ila Kenya Wana afadhali. Vitu vingi Wana afford. Wanavitumia vyema na wanalipa kwa kiasia wanaweza maintain. Tanzania kila kitu lipo abused and underutilised. Sio sustainable.











Fala weweAcha ujinga wewe?wakemya wapo zenj wanafanya kazi hamuwezi. Na umri gani nyie machalii.mnataka danganya kuwa ndioabalozi wa bongo?










Sasa unabisha?Acha ujinga wewe?wakemya wapo zenj wanafanya kazi hamuwezi. Na umri gani nyie machalii.mnataka danganya kuwa ndioabalozi wa bongo?
Kwa jinsi ulivyo kichwa it's obvious unalo jibu. Kila mahali upuuzi wa kijamaa unashindwa. Mantaka teka narrations ili nyie ndio muongea mambo ya watu wa niaba yao. Ni mambo ya wajamaaa na watu wa mashariki ya Kati.Kitu gn kimekufanya uje na ID mpya? Si ungekuja na Id ile ile unaogopa nn sasa mbwa wewe![]()
Hahaha wewe tuliaa... Wenzako Walikuja hivyo hivyo Sasa wamekimbia baada ya kujua ukweli..The way you got it makes me laugh. Km watz wengine mlivyo huwa hampendi Sana kuangalia size of the fight.
Wewe kukaa miaka mingi inasaidia nini wewe ni kitu usem uemoza zaidi? Hata wapimbabhuwanazeeka na kuishia miaka mingi.
Hembu ondoeni ujinga wa kuanzisha Tanzania. Akili yako unapigana sana kutetea nchi. Unatetea kudanganya. Jenga nchi ijieleze yenyewe.
Mnadhani maghorofa ni maendeleo? Swizland hawayataki sio kwamba hawawezi yajemga sana. Waarabu na wachina wamejenga sana na sasa yanakuala hela tuu hawakuwa hata kama yanawapa furaha,Amani au power duniani..
Tanzania kila kitu kinakufa...restaurants,hotels,supermarkets etc. Kwa vile hamuwezi afford.
Kuna mkemya kawaambia Hilton IPO Nairobi na inafanya kazi. Tanzania Sheraton walifunga Dar kwa vile hamuwezi afford. Wamewaletea Four seasons by Sheraton. Ndio level yenu.
Ila Sifa za kijinga zinakuwa aibu sio sifa.
Do you even know what are you going to achiev in this shit?Sasa unabisha?
Blah blah kama kawaida. Watz ni wenzangu ila mnachosha.Hahaha wewe tuliaa... Wenzako Walikuja hivyo hivyo Sasa wamekimbia baada ya kujua ukweli..
Uzi ulikuwa wa moto huu punch afta punch ila saiv wote wametoka mbio baada ya kujua ukwelii
Pita huku!Do you even know what are you going to achiev in this shit?
Wakenya wanaingia hotels zao,zenu na nyingine duniani. Wanasafiri duniani kwa.vile wanaweza.
Nyie mkaehesabu makabila na kujipa sifa za kujiramganya. Muulize shetani mkubwa Putin. The idiot is now exposed. Alidhani alipiga mkwara wenzie hawajui kuwa Hana kitu. Walikuwa wakimlia timing iwe mwisho wa kutaka bure duniani.
Hata nyie way nyumbani mnakwapua wapi na kuzuia makabila mengine yasiendelee. Halafu mnataka sifa kwa vitu hamuwezi afford.
Ongeeni mambo ya maana. Jifunzeni kuongea dili na sio kulishwa ego.
Kuna nini? Unajua kwanini nataka fundisha watz kufikiri ? Pengine pia kuna wakenya kama watz NAO pia wataelimika.Pita huku!
![]()
Quality Hotels and Resorts: Nairobi vs Zanzibar
Now some of individuals brag a lot about Nairobi quality facilties without knowing Zanzibar Island has relative the same quality facilities. It's time to make this known.www.jamiiforums.com
Poleee...Wabongo wapuuzi kweli kweli. Tabia za kusifia wezi. Wamejenga majengo ya kizushi wakaleta watu wa kuwasaidia kuhamisha pesa. Mnabaki na majengo yanakula hela nyingi kutunza kuliko wastaafu wenu.
Hizo ni Tania za waswahili wapo Dar na wanaishi Dar Ila ni washamba wa vitu kuliko watu wa mikoani.
Ad hominem. Umeanza ubabaishaji na kushambulia watu kuingia vionja.Poleee...
Nimepata ujumbe katikati ya maandisho yako haya...
Tatizo lako Hilo huwezi kupona. Ni mpaka wewe mwenyewe uamue, ukubali na uchukue hatua.. Otherwise Uta endelea kuteseka na kuumia sana
Wewe ni kenge wa wapi? 😂😂Kuna nini? Unajua kwanini nataka fundisha watz kufikiri ? Pengine pia kuna wakenya kama watz NAO pia wataelimika.
Haya mahoteli yanajengwa kimkakati. Mengine wejenga watu wa. Je ya Kenya na Tanzania. Huwezi ringia hotel kajenga Mkenya Tanzania au vise versa.
Otherwise tusishangae Simba ,nyumba na wengine wakiringia hotels za wasouth Africa and beyond na wengine kule porini.
Hotel nyingine Tanzania na Zenj hazina tofauti na za porimi kwa wanyama. Hamuwezi afford na hamzitumii.
Wa mikoani. Tukijua Dar tunawaita kwa speed kama mmekufa vile.Wewe ni kenge wa wapi? 😂😂
Kama Dege eco village inaonekana kuwa mbali na mji utaenda wapi kujenga City chalinze auHii nchi inakera sana, unakuta vimiradi vya apartment kila siku wanabadili pa kuweka, mara kawe mara kigamboni mara sijui wapi matokeo yake tuna vimiradi vingi vipo sehemu tofauti tofauti wkt vingewekwa sehemu moja tukawa na mji fulani hivi amazing wa kuonesha watu, kwa apartment zilizotapakaa hapa bongo kama zingewekwa sehemu moja basi tungekuwa na dude moja kuubwaa hapa EA sema ndiyo hvyo tena kila mtu anaamka na lake.
Ujenzi wa nyumba ni scam na nkia ya kitakatisha pesa pia kuhamisha pesa.Kama Dege eco village inaonekana kuwa mbali na mji utaenda wapi kujenga City chalinze au