Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nova cidade de calambo project in Luanda city, Angola .. 👇
kilamba-angola.jpg
416f68bda74824949bfca3707c680baf.png
images|cms-image-000022612.png
cms-image-000006410.jpg
angola4.jpg
No-do-Zango-585x420_center_center(0).jpg
mradi umepigwa na mchina .. a lesson to EA.? 🤣 Kenyans kama naona vile ..

Kwa Miradi ya TBA au NHC kwanini isifanywe kwa ukubwa huu.? Kuliko vile vi miradi vya units sijui mara kawe sijui wapi 🤦 Dah.!

Ingekua kauli yangu, miradi ya nyumba ya TBA+NHC ningeshauri itekelezwe eneo moja kubwaa haswa kwa hapa DAR .but not vile vi apartments vitatu vinne
 
Nova cidade de calambo project in Luanda city, Angola .. [emoji116]View attachment 2414523View attachment 2414524View attachment 2414527View attachment 2414528View attachment 2414529View attachment 2414530mradi umepigwa na mchina .. a lesson to EA.? [emoji1787] Kenyans kama naona vile ..

Kwa Miradi ya TBA au NHC kwanini isifanywe kwa ukubwa huu.? Kuliko vile vi miradi vya units sijui mara kawe sijui wapi [emoji1751] Dah.!

Ingekua kauli yangu, miradi ya nyumba ya TBA+NHC ningeshauri itekelezwe eneo moja kubwaa haswa kwa hapa DAR .but not vile vi apartments vitatu vinne
Huo mji kuna documentary yake namna ulivyojengwa unaweza accomodates watu laki5, apartments zake ziko vizuri sana, kuna watu wa maintenance wako standby muda wowote kukitokea itilafu yoyote kama maji kuvuja ama umeme kuzingua...

Wamepiga mikeka ya maana ukanyagi vumbi sehemu yoyote...yani pako poa sana Mradi kama huu unafaa sana Dar na wapige kabisa stop ujenzi holela
 
Nova cidade de calambo project in Luanda city, Angola .. [emoji116]View attachment 2414523View attachment 2414524View attachment 2414527View attachment 2414528View attachment 2414529View attachment 2414530mradi umepigwa na mchina .. a lesson to EA.? [emoji1787] Kenyans kama naona vile ..

Kwa Miradi ya TBA au NHC kwanini isifanywe kwa ukubwa huu.? Kuliko vile vi miradi vya units sijui mara kawe sijui wapi [emoji1751] Dah.!

Ingekua kauli yangu, miradi ya nyumba ya TBA+NHC ningeshauri itekelezwe eneo moja kubwaa haswa kwa hapa DAR .but not vile vi apartments vitatu vinne
Hii nchi inakera sana, unakuta vimiradi vya apartment kila siku wanabadili pa kuweka, mara kawe mara kigamboni mara sijui wapi matokeo yake tuna vimiradi vingi vipo sehemu tofauti tofauti wkt vingewekwa sehemu moja tukawa na mji fulani hivi amazing wa kuonesha watu, kwa apartment zilizotapakaa hapa bongo kama zingewekwa sehemu moja basi tungekuwa na dude moja kuubwaa hapa EA sema ndiyo hvyo tena kila mtu anaamka na lake.
 
Huo mji kuna documentary yake namna ulivyojengwa unaweza accomodates watu laki5, apartments zake ziko vizuri sana, kuna watu wa maintenance wako standby muda wowote kukitokea itilafu yoyote kama maji kuvuja ama umeme kuzingua...

Wamepiga mikeka ya maana ukanyagi vumbi sehemu yoyote...yani pako poa sana Mradi kama huu unafaa sana Dar na wapige kabisa stop ujenzi holela
Ujenzi holela bado unaendelea hii nchi, ni kama hakuna serikali aiseee.
 
Hii nchi inakera sana, unakuta vimiradi vya apartment kila siku wanabadili pa kuweka, mara kawe mara kigamboni mara sijui wapi matokeo yake tuna vimiradi vingi vipo sehemu tofauti tofauti wkt vingewekwa sehemu moja tukawa na mji fulani hivi amazing wa kuonesha watu, kwa apartment zilizotapakaa hapa bongo kama zingewekwa sehemu moja basi tungekuwa na dude moja kuubwaa hapa EA sema ndiyo hvyo tena kila mtu anaamka na lake.
Kweli kabisa, tungekua tumejenga hiyo miradi kwenye eneo moja kubwa tungekua na eneo moja matata mno .. miradi ya NHC+UTUMISHI HOUSING+TBA .. sahii tungea na concrete jungle ingine kubwaa tena ya maana kuliko KK .. but pitia hivyo vi miradi wanvyofanya NHC now then get to checkout the surroundings.. ni aibu kwakweli
 
Angalia Ukungu natural ulivyo mzuri, sio ule wa fungus kwenye lens ya Camera ya simu[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom