Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Magufuli was a fool
Rais wa TZ we anakuuma nn? Badala umchukie baba.ako kashindwa kukupeleka shule mpk umekuwa chokoraa unamchukia rais ambaye hukumpigia kura na wala hakuhusu kabisa, wewe mchukie Kenyatta ndiyo alisababisha uwe chokoraa kwa kuwapa ardhi yote wazungu wapande maua badala ya chakula na kupelekea leo muwe na njaa miaka nenda rudi
 
Uwekezaji wa mahoteli na resorts zanzibar unazidi kushamiri tuu
315426300_1345734429496017_4434763003106052162_n.jpg
 
Ila SADC kuna kitu inafanya si sawa! Hii DRC ni territory ya SADC for long, saahii Mozambique kuna RDF na sasa eastern DRC hawa mbwa wanaenda ukiachia presence ya Uganda na Burundi! Kenya inatumwa na mabwana zake the West kuenda kulinda interests za western nations! Kitakachotokea ni vita kati ya Uganda na Rwanda dhidi ya Kenya!
Mara ya mwisho Angola na Zimbabwe waliipigania Kongo, ila kwa kuwa nchi nyingine za SADC kama TZ zinajiweka pembeni, nazo zinaona hazina haja ya kupoteza rasilimali zao kupigana DRC.
 
Zanzibar imeizidi Mombasa kwa mbali sana na linapokuja suala la mahoteli hakuna mji hapa EA unaigusa Zanzibar hata Dar inasubiri.
Yani kuna mahoteli na residential houses zinajegwa huko zenji kufuru aisee hapa EA hamna ,serikali ipambane tu kufikisha barabara kwenye hayo maeneo na kuboresha makazi ya watu ili mji uendane na hadhi yake
 
Yani kuna mahoteli na residential houses zinajegwa huko zenji kufuru aisee hapa EA hamna ,serikali ipambane tu kufikisha barabara kwenye hayo maeneo na kuboresha makazi ya watu ili mji uendane na hadhi yake
Zanzibar inaipiga ka Nairobi hands down linapokuja suala la estate.
 
Rais wa TZ we anakuuma nn? Badala umchukie baba.ako kashindwa kukupeleka shule mpk umekuwa chokoraa unamchukia rais ambaye hukumpigia kura na wala hakuhusu kabisa, wewe mchukie Kenyatta ndiyo alisababisha uwe chokoraa kwa kuwapa ardhi yote wazungu wapande maua badala ya chakula na kupelekea leo muwe na njaa miaka nenda rudi

Anaangaika na Tanzania wakati nimesoma mahali mtoto wa Ruto ana uwezo wa kuita mawaziri wa kuwaweka kikaoni.
 
you’ll realize it’s worthy nothing but a wastage of time.
then if u don't have crash on beautiful ladies.. then somethng must be the matter with you...

u must be seeing out men u game over...
as in, u Must be Gay🏳️‍🌈⚧ aky walai!🖐🏽.....

wah!🤭🤭 game over , am starting to fear u meeen.... yani, nyinyi ni wale wasee wa Manyu United


🗣wasee...! hii tena ni gani.!💥 heb njooni msikie hii!..
 
Mara ya mwisho Angola na Zimbabwe waliipigania Kongo, ila kwa kuwa nchi nyingine za SADC kama TZ zinajiweka pembeni, nazo zinaona hazina haja ya kupoteza rasilimali zao kupigana DRC.
Naona Angola ndio mpatanishi wa hizi drama za Congo na Rwanda..

Hao wanaojiweka Kati bila kujua historia ya haya mambo yatakiwa wakae mguu pande... Wanaweza kugeuzwa asusaa..

Enemy of my enemy..
 
Labda niwasaidie way wenzangu. Natural resources zote mnazopost hapa kijinga sio fahari Yenu Ila ya Mungu. Na nyie hamjaongeza value yoyote. Mmejikuta hapo km vile samaki na wanyama na ndege wamejikuta. Kwa hiyo tutumie akili kidogo kuondoa aibu.

Jambo jingine muhimu sana sana zaidi ya hayo ma white elephants kwa nchi zote ni hili.


Wote wana punch beyond their reach.. Ila Kenya Wana afadhali. Vitu vingi Wana afford. Wanavitumia vyema na wanalipa kwa kiasia wanaweza maintain. Tanzania kila kitu lipo abused and underutilised. Sio sustainable.
 
Labda niwasaidie way wenzangu. Natural resources zote mnazopost hapa kijinga sio fahari Yenu Ila ya Mungu. Na nyie hamjaongeza value yoyote. Mmejikuta hapo km vile samaki na wanyama na ndege wamejikuta. Kwa hiyo tutumie akili kidogo kuondoa aibu.

Jambo jingine muhimu sana sana zaidi ya hayo ma white elephants kwa nchi zote ni hili.


Wote wana punch beyond their reach.. Ila Kenya Wana afadhali. Vitu vingi Wana afford. Wanavitumia vyema na wanalipa kwa kiasia wanaweza maintain. Tanzania kila kitu lipo abused and underutilised. Sio sustainable.
Karibu kwenye forum na uzi huu ndugu..

Kaa Kwa kutulia upate muongozoo... Watu wako miaka mingi hapa wamepigana vita ya kutosha...
 
Karibu kwenye forum na uzi huu ndugu..

Kaa Kwa kutulia upate muongozoo... Watu wako miaka mingi hapa wamepigana vita ya kutosha...
The way you got it makes me laugh. Km watz wengine mlivyo huwa hampendi Sana kuangalia size of the fight.

Wewe kukaa miaka mingi inasaidia nini wewe ni kitu usem uemoza zaidi? Hata wapimbabhuwanazeeka na kuishia miaka mingi.


Hembu ondoeni ujinga wa kuanzisha Tanzania. Akili yako unapigana sana kutetea nchi. Unatetea kudanganya. Jenga nchi ijieleze yenyewe.

Mnadhani maghorofa ni maendeleo? Swizland hawayataki sio kwamba hawawezi yajemga sana. Waarabu na wachina wamejenga sana na sasa yanakuala hela tuu hawakuwa hata kama yanawapa furaha,Amani au power duniani..


Tanzania kila kitu kinakufa...restaurants,hotels,supermarkets etc. Kwa vile hamuwezi afford.


Kuna mkemya kawaambia Hilton IPO Nairobi na inafanya kazi. Tanzania Sheraton walifunga Dar kwa vile hamuwezi afford. Wamewaletea Four seasons by Sheraton. Ndio level yenu.


Ila Sifa za kijinga zinakuwa aibu sio sifa.
 
even cyril ramaposa himself admited tht only south africa and kenya are the only two countries that determines the economic direction of the whole eastern and southern africa sub continent region.. and thats why he had every reazon to come over to kenya first before any other country in the great lakes region including tanzania and ethiopia..
he also said, that was the main reazon why he was doing away with visa restrictions between these two economic giants!

[nb: SADC countries, led by Tanzania kapakatwa🍆 hapa🤣]


he also added tht the whole african continent, solemnly are in the hands🤲🏽 of only kenya, south africa , nigeria and egypt. so the integration among these countries must be very strong, so as to ensure the economic well being of the entire continent....


cyril ramaposa here for u guyz... check this out!🔥🔥

 
Back
Top Bottom