instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,602
- 19,781
Sipendagi watu wanaolalamika tu kama Wanawake....Ujenzi wa nyumba ni scam na nkia ya kitakatisha pesa pia kuhamisha pesa.
China wanashida ya kiuchumi kwa sababu ya haya mataka taka.
South Africa kuna viwanda vimejengwa ktk Miji kama chato vina madeni na riba. Hakuna michezo ya maana ya kujaza watu tena baada ya world cup. Gharama ya ukarabati na kuendesha ni kubwa kuliko mapato achilia mbali riba na Mkopo.
Ndio ujinga wamefanya mifuko ya hifadhi Tanzania. Wamejenga kila mikoa eti usawa na kupendezesha Miji. Sasatalipa na mavi na bado yatachakaa na kuharibu Miji.
Hebu lalamika na utoe solution vinginevyo inakuwa michambo na umbea...
Both kenya and Tz zinasafari ndefu katika kupata maendeleo ya kweli...kulalamika tu hakusaidii chochote
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app