REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,603
- 11,532
“Juhudi za uokoaji” zimefanywa na civilians wenye mashua.
Wewe sio Mtanzania.
Hukuweza kutupa mrejesho wa "Sizitaki Mbichi Hizi".
Ungejikita zaidi kuhamasisha Wakenya wenzio at least wapande mboga mboga kwenye makopo and madebe kupunguza ukali wa njaa.