Where are Vihiga Queens in CAF champions league?Hawa ndio wale walicharwa na Vihiga queens?![]()
Kunyaland technology invention. Kuna vitu vingine ni aibu sana. Mganga ni marketing genius maana kaandika namba yake kwenye nguo hili afanye utapeli kirahisi
You guys still argue with these hopeless tanzanians.....Yani pilots wakenya wenye walikuwa employed na Kenya airways in Precision Air wameenda strike tu siku moja na tayari watanzania washaingiza ndege kwa maji. What do these Tanzanians really know?
View attachment 2408260
Nyie wenye njaa neio hopeless asfYou guys still argue with these hopeless tanzanians.....
I Once wrote about the plan to have Rescue helicopters kwenye kila zonal hospital at least 5 emeregcny helicopters with emergency police squad ..hizi zingesaidia sana kwenye emergency
“Juhudi za uokoaji” zimefanywa na civilians wenye mashua.I Once wrote about the plan to have Rescue helicopters kwenye kila zonal hospital at least 5 emeregcny helicopters with emergency police squad ..hizi zingesaidia sana kwenye emergency
Yeah .Wakati sehemu nyingne squad inaenda wanatoboa ceeling tu chap wanaevacuate watu kwa juu kwa kutumia helicopter in 1 hour unakuwa umeokoa wengu. Na helicopter ni very cheap aiseh.“Juhudi za uokoaji” zimefanywa na civilians wenye mashua.
Remember when Tanzania sent ‘relief aid’ to the victims of cyclone Idai In Mozambique, Zimambwe and Malawi in 2019? A few years earlier when an earthquake struck Kagera, there weren’t as much efforts to help the affected TANZANIAN citizens. It seems as though we do not care about the lives of our own people. We are definitely not prepared for emergency rescues. Perennial rainfalls that cause floods in Msimbazi almost every year claim several lives, but usually, nobody cares about rescuing these people. What a shame!Yeah .Wakati sehemu nyingne squad inaenda wanatoboa ceeling tu chap wanaevacuate watu kwa juu kwa kutumia helicopter in 1 hour unakuwa umeokoa wengu. Na helicopter ni very cheap aiseh.
We also need to have Firefighter helicopter .Nchi inayoweza ku afford dreamliner surely it can afford 5 Emergency Helicopters.which can serve as Ambulances, Rescue mission , Fire Fighting
Huwezi amini soln ilikuwa kuvaa life saving vests kitu ambacho cabin crew aliyefungua mlango alipaswa kuwaambia abiria the moment ndege imeingia kwenye maji ila matokeo yake wameenda kusubiria mtumbwi mlangoni! Yaani kusongamana mlangoni na kuacha life saving jackets/vest chini ya viti!Yeah .Wakati sehemu nyingne squad inaenda wanatoboa ceeling tu chap wanaevacuate watu kwa juu kwa kutumia helicopter in 1 hour unakuwa umeokoa wengu. Na helicopter ni very cheap aiseh.
We also need to have Firefighter helicopter .Nchi inayoweza ku afford dreamliner surely it can afford 5 Emergency Helicopters.which can serve as Ambulances, Rescue mission , Fire Fighting
Geza Ulole Unadhani ajali ni kitu rahisi sana. Kwamba kila mtu atakuwa organized na kuwa responsible. But no! People panic in situations like these. Kama kungekuwa na rescue helicopters Au marines nina uhakika death toll isingekuwa kubwa. And the plane crashed very close to the shores! Imagine if it had landed farther away from civilization.Huwezi amini soln ilikuwa kuvaa life saving vests kitu ambacho cabin crew aliyefungua mlango alipaswa kuwaambia abiria the moment ndege imeingia kwenye maji ila matokeo yake wameenda kusubiria mtumbwi mlangoni! Yaani kudongamana mlangoni!
Cabin crews wako trained mara kwa mara on what to do when a situation like this happens n they even do qualification exams, there is no excuse! Huo muda wa kutoboa ndege juu ungepatikana wapi? Mbona kuna ajali kama hii ilitokea new York Hudson river wakapona! Cabin crew have the biggest role to play and calm the PAX hawatakiwi wa-panic!Geza Ulole Unadhani ajali ni kitu rahisi sana. Kwamba kila mtu atakuwa organized na kuwa responsible. But no! People panic in situations like these. Kama kungekuwa na rescue helicopters Au marines nina uhakika death toll isingekuwa kubwa. And the plane crashed very close to the shores! Imagine if it had landed farther away from civilization.
Labda tractor haikuwapo na pia unaambiwa kamba ilikuwa ikikatika!Wa sjui mbona hawakuvuta hio ndege na tractor itoke inje Mara moja stori baadaye!🤔🤔🤔
waa pole kwao Sana🙏🇹🇿Labda tractor haikuwapo na pia unaambiwa kamba ilikuwa ikikatika!