Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😍😍😍

20221105_221140.jpg
20221105_221136.jpg
20221105_221217.jpg
 

Huwa nasikia viongozi wakitembelea miradi wanasema,
Nanukuu.

Mkandarasi hatudai chochote certificates zote zikijazinalipwa kwa wakati, sisi ndio tunamdai
Mkandarasi kazi
 

Huwa nasikia viongozi wakitembelea miradi wanasema,
Nanukuu.

Mkandarasi hatudai chochote certificates zote zikijazinalipwa kwa wakati, sisi ndio tunamdai
Mkandarasi kazi

Raisi eti anazunguka kutafuta pesa duuuh.
 
Nmemind kwasababu tunahitaji mahusiano na nchi nyingi zaidi ili tuweze kuuza bidhaa zetu zaidi watu wapate hela...imagine mkulima wa maharage anaelima ekari 20 kwakua soko liko China leo akaambiwa kuna soko la maharage Korea,kuna soko Japan Lima heka 100 ukiweza na mkopo anapata...huoni ndio anachomoka kimaisha tayari apo..
Yeah! Hata mimi huwa ninashauri tulime sana tujitosheleze masoko yote ya ndani na ya nje.
 
Back
Top Bottom