tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Mbona msingechapa 100floors ndio zifananane sawasawa?But zinafanana. Wewe ni wivu uko nayo
Mbona msingechapa 100floors ndio zifananane sawasawa?But zinafanana. Wewe ni wivu uko nayo
Kwann ikulu wasitenge budget wanunue ndege ya Raisi inayofika popote bila kuathiri izo za abiria...hii nchi kuielewa ni kazi sanaAngeweza kwenda na A220, tatizo la viongozi wa kiafrika ni inferiority complex inawasumbua na kupelekea mzigo wa madeni kwa mataifa yetu haya.
eeh!.. kama tu venye tulifanyanga huku kenya, tangia enzi za moi. sio? private jet yani, ama vipi?Kwann ikulu wasitenge budget wanunue ndege ya Raisi inayofika popote bila kuathiri izo za abiria...hii nchi kuielewa ni kazi sana
Uhuru park is bliss!!
ChamotoThe trickiest part about Tanzanian city statistics is that the numbers are simply agglomerations, without considering city limits, urban, or metropolitan area. They just tell you that Dar’s population is 5 million! Okay, what percentage of the population resides within the city limits? What about the urban area of Dar? And the metropolitan area? Kenya has done a great job. There’s a clear distinction and the numbers are highly reasonable when you look at how they’ve published their statistics.
Ile Gulf stream inafika popote! Wacha ukenge!Kwann ikulu wasitenge budget wanunue ndege ya Raisi inayofika popote bila kuathiri izo za abiria...hii nchi kuielewa ni kazi sana
Kenge mwenyewe mbona isitumike?we mzee unamatatizo sanaIle Gulf stream inafika popote! Wacha ukenge!
At the moment, Nairobi does not need a 100 floor skyscraper, New York doesMbona msingechapa 100floors ndio zifananane sawasawa?
Jibu zuri snMbona msingechapa 100floors ndio zifananane sawasawa?










Ndege ya rais ipo na inafika popote duniani hapa, ni inferiority complex tu ilimsumbua.Kwann ikulu wasitenge budget wanunue ndege ya Raisi inayofika popote bila kuathiri izo za abiria...hii nchi kuielewa ni kazi sana
Nyingine hii wameiga kama Kawaida, hawajawahi kuwa creative hawa wasenge zaidi ya kuwa waigaji wa kila kitu.
Uhuru park is bliss!!
Hili ndio tatizo lenu wakenya, mbona Uhuru Kenyatta alipokwenda Jamaica na Barbados alikodi Gulf stream ya pesa nyingi hakutumia ndege yake chakavu? Muda mwingi mnadhani mkifanya jambo n8 sahihi.eeh!.. kama tu venye tulifanyanga huku kenya, tangia enzi za moi. sio? private jet yani, ama vipi?
its high tyme for tzee meeen! bora wee umeanika hii hapa leo![]()
Xi alipochaguliwa kwa mara ya kwanza 2013 alifanya ziara ya kwanza nje kuja Tanzania na alitangaza sera ya mambo ya Nje ya China akiwa Dar..kweli wachina wame muheshimisha Mama...
Presidential motorcade.
Nairobis built up area is almost twice that of DarHivi Dar yote imetoshana in population na Nairobi City Proper na bado mnasema ndio jiji kubwa EA considering 40% of Nairobi Metro population wako nje ya Nairobi proper?
Yani Geza kumjibu mtu kama hivi hua anaona kazi sana...siajifunze hapaNdege ya rais ipo na inafika popote duniani hapa, ni inferiority complex tu ilimsumbua.
MY TAKE
Ila dah mama anapenda matanuzi, yaani dremliner lote kwa ajili yake tu? Yaani kama Xi Jinping anayeenda kumkopa! This has to change!