Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I am wondering. Even Burj Khalifas top floor is at 605 metres, it is then topped by a 223 metre tall antenna and a 1.8 metre tip which when all are added make up the final height of 829.8 metres.
Ingekua height inapimwa kulingana na hizi taga za jamii forums, Burj Khalifa would not be the 3rd tallest building in the world because its top floor is at 602 metres. There are 2 more buildings in the world taller than 602 metres. In China and Malaysia.
View attachment 2405412
Its the same case with Britam Tower, its top floor is at 120 metres followed by an 80 metre antenna. Both add up to the final height of 200 metres
View attachment 2405413
Hawana exposure.
 
So zisijengwe wewe kilaza? Kenya sio Tanzania ya Dar.., we have malls in village towns it's now a Kenyan culture., kwenu ni anasa, sehemu ya matajiri.., kwanza hii ya Eastleigh tajiri mgani Kenya ataenda kule?.., hii ni ya raiya wa kawaida, targeting businesses za Eastleigh na supermarkets, the rich don't go to Eastleigh bana, and rich neighborhoods ziko na malls zao.., koma kuangalia Kenya kupitia poverty lenses za Kitanzania, yaani stop projecting your poverty and limitations on us..,
Zinasaidiaje mama mboga na hustlers wenye wa jua Kali na wafugaji kujikomboa?, Kifupi Kuna uhusiano gani kati ya idadi ya Malls na kuongezeka kwa njaa Kenya?
 


MY TAKE
Ila dah mama anapenda matanuzi, yaani dremliner lote kwa ajili yake tu? Yaani kama Xi Jinping anayeenda kumkopa! This has to change!

Air Tanzania kwa sasa inaenda China kama ndege ya abiria kila jpil saa 11 asubh..
Hii ya mama, ni special flight.. ila nimtete.. gharama aliyotumia kuitumia hio ndege yey na msafara wake ni kidogo kuliko kile anachoenda kupokea (mikopo/mikataba)😀
 
Air Tanzania kwa sasa inaenda China kama ndege ya abiria kila jpil saa 11 asubh..
Hii ya mama, ni special flight.. ila nimtete.. gharama aliyotumia kuitumia hio ndege yey na msafara wake ni kidogo kuliko kile anachoenda kupokea (mikopo/mikataba)
Kwamba hiyo mikopo ni mizito Sana lazima inahitaji dege zima la dream liner ndiyo iweze kuenea?. Haya ndio matumizi mabaya ya pesa za umma.

Kagame anasafiri Sana, ulishasikia amechukua ndege kubwa za Rwanda Air na kuzunguka nazo?, Kwanini asitumie ndege ya rais au kukodi ndege zingine ndogo kidogo(Gulf stream) Kama anavyofanya Kagame na kuacha hizi ndege ziendelee kutengeneza faida

Itakua vigumu Sana kupiga hatua kwa kasi Kama viongozi wataendelea na tabia ya matumizi ya pesa ya hovyo kiasi hiki
 
Kwamba hiyo mikopo ni mizito Sana lazima inahitaji dogo zima la dream liner ndiyo iweze kuenea?. Haya ndio matumizi mabaya ya pesa za umma.

Kagame anasafiri Sana, ulishasikia amechukua ndege kubwa za Rwanda Air na kuzunguka nazo?, Kwanini asitumie ndege ya rais au kukodi ndege zingine ndogo kidogo(Gulf stream) Kama anavyofanya Kagame na kuacha hizi ndege ziendelee kutengeneza faida

Itakua vigumu Sana kupiga hatua kwa kasi Kama viongozi wataendelea na tabia ya matumizi ya pesa ya hovyo kiasi hiki
watu wa urojo hupenda makuu! wana vinasaba vya usultani!
 
Air Tanzania kwa sasa inaenda China kama ndege ya abiria kila jpil saa 11 asubh..
Hii ya mama, ni special flight.. ila nimtete.. gharama aliyotumia kuitumia hio ndege yey na msafara wake ni kidogo kuliko kile anachoenda kupokea (mikopo/mikataba)😀
We jamaa kuna unafki flani kwenye hii komenti yako 😅😅 ila ujumbe umefika
 
Air Tanzania kwa sasa inaenda China kama ndege ya abiria kila jpil saa 11 asubh..
Hii ya mama, ni special flight.. ila nimtete.. gharama aliyotumia kuitumia hio ndege yey na msafara wake ni kidogo kuliko kile anachoenda kupokea (mikopo/mikataba)
Angeweza kwenda na A220, tatizo la viongozi wa kiafrika ni inferiority complex inawasumbua na kupelekea mzigo wa madeni kwa mataifa yetu haya.
 
Naelewa mkuu.. nimesema tu ngoja nimtete
Alafu ishu ya kutengeneza faida, kwenye mahesabu, ikulu haiwezi kutoa kiasi flan kwenda ATCL (na faida juu) kama gharama ya safari ya rais.
?
Mfano, kwa huo mda hio ndege inafanya safar ya rais, ingekuwa kwenye route zake tuseme ilipaswa kuingiza mil 50 (mfano tu).. lkn kwakuwa ikulu imekodi, itabidi ikulu kweny mahesabu yake (expinditure) watoe mil 100 kwenda ATCL (extra faida ni mil 50).. hawawez kufanya hiv? So sion kama ATCL wanapata hasara kwenye safari za rais, lbda serikal (ikulu) ndo inakuwa inatumia hela vibaya..
kuna kipindi magu alisema serikal miaka ya nyuma ilitumia zaid ya 300bil kwa safar za viongoz nje ya nchi
Sasa hapo c itakuwa imejikopa yenyewe? Na nani atalipia hizo gharama kama sio cc wananchi? Kwnn hizo pesa zisiende kufanya kazi nyingine ya kuwaletea maendeleo wananchi?
 
Back
Top Bottom