Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kachunguze wanaokuja kutoka Kenya kuwekeza kwa Nchi yenu,DRC,Uganda,Rwanda,Burundi,South Sudan,Somalia,Somali Land,Punt land,Jubaland🤑Kama ni wasomali!!!
Usitubebe ndogo💩
Mnawekeza nini sasa? Kampuni 1000 mtaji buku Jero?
 
unajua maana ya neno household kweli? ama unadhani ni jumba haswa? yaani watu wa censor wakifika kwenye boma lenu, watalihesabu kama household moja.., ila pale kunaweza kukua na nyumba kadhaa, kwa mfano ya wageni, "simba" (cottage) ile ya vijana etc.., household sio jumba haswa dogo.., bana hizi aibu za kutokujua kisha unakurupuka punguza😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2404082
yaani nyoote ni zwazwa ata mchapishaji wa hili👇👇 eti idadi ya majengo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2404080
Any way.. pitia hii 🤣🤣🤣👇
Screenshot_20221031-204947_1.jpg
kumbe mko na nyumba 7 million 🤣🤣 hiyo ilikua ni 2019 census report .. halafu kubishana na sie kumbe mnashi kwenye slums 10 million kenyans👇
Screenshot_20221031-205507_1.jpg
nyie wasenge level zenu ni Uganda 👇
Screenshot_20221031-205300_1.jpg
vs Tz 👇
Screenshot_20221031-230316_1.jpg
 
Mnawekeza nini sasa? Kampuni 1000 mtaji buku Jero?
alafu Tena nyinyi mumewekeza Nini Kenya???🚮🤏Nyani haonagi kundule lake"Wahenga walisema na hawakukosea kumbe"
We have outshinned you mpaka Rwanda,burundi,DRC and Malawi wanamtambua Kenya🤑 Wazungu mpaka uko Nigerians wanajua eti Kilimanjaro iko Kenya!!😂😂😂why???
Because you are lazyssss!
 
alafu Tena nyinyi mumewekeza Nini Kenya???🚮🤏Nyani haonagi kundule lake"Wahenga walisema na hawakukosea kumbe"
We have outshinned you mpaka Rwanda,burundi,DRC and Malawi wanamtambua Kenya🤑mpaka Wazungu wanajua eti Kilimanjaro iko Kenya!!😂😂😂why???
Because you are lazyssss!
We unaongelea vitu gani.?
 
Dar es Salaam province has only 5.3 million people?

Na mbona huwa tunadhani Nairobi has the lower population.
Wider Nairobi (Nairobi metropolitan) has 9.3 million people.
Wakenya wote mmejazana ka Nairobi cz ndio mji pekee ambao kdg unaeleweka huko kwenu. Sisi huku maendeleo kote kote thus y tumetawanyika.
 
Bei imepanda nyumbani kwenu wewe unasema faida ni kwa mtanzania asie kua na uwezo wa kununua, unajiliwaza na huu ujinga wako, mmepatikana, uchi wenu uko wazi, omba Mungu ukame isiendelee bure mtaihama nchi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Unaefoka umetudouble inflation na bado hiyo price excess yote inakuja Tanzania, interesting

 
Mnaweza kujilisha nyie mbwa.?
Kama sisi ndio biggest cash crops in Afrika tunacompete Coffee,Tea na maua na Nchi Kama India,Brazil only🤑😂sasa na Kama tungeamua kulima "mashakura" Kila mahali!!
Kumbuka pia sasa hivi Kenya Chakula zinaozea mashambani sio eti hatuna!!ni watu wenyewe hawajatia bidii kuziendea in places like Nyandarua food is rotting in shambas👌
 
Kama sisi ndio biggest cash crops in Afrika tunacompete Coffee,Tea na maua na Nchi Kama India,Brazil only🤑😂sasa na Kama tungeamua kulima "mashakura" Kila mahali!!
Kumbuka pia sasa hivi Kenya Chakula zinaozea mashambani sio eti hatuna!!ni watu wenyewe hawajatia bidii kuziendea in places like Nyandarua food is rotting in shambas👌
Hakuna cashcrop yoyote mnayoongoza mbele ya Tanzania
 
Wakenya wote mmejazana ka Nairobi cz ndio mji pekee ambao kdg unaeleweka huko kwenu. Sisi huku maendeleo kote kote thus y tumetawanyika.
Kenya population=45-50 million
Nairobi population=4-5million sasa mbona akili🤏🤏🤏🖕
 
Any way.. pitia hii 🤣🤣🤣👇View attachment 2404119kumbe mko na nyumba 7 million 🤣🤣 hiyo ilikua ni 2019 census report .. halafu kubishana na sie kumbe mnashi kwenye slums 10 million kenyans👇View attachment 2404122nyie wasenge level zenu ni Uganda 👇View attachment 2404124vs Tz 👇View attachment 2404125
Wewe haujielewi kabisaa, ata neno household haujui.., wacha nuikupatie summary ya 2019 census ya Kenya.., pole pole uwache kujitekenya..., kwa vile census report yenu haijaonyesha number ya nyumba zinazomilikiwa na watanzania, imesema households ni 12.3 million.., Kenya ilisema household ni 12.2 million household.., kisha zaidi ya 7 million house owners.., sasa ikija house ownership in Tz wewe unadhani inaweza kufika ata 10million? wacha kujitoa ufahamu dogo 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1667311520343.png

1667311592171.png

1667311685584.png

1667311696528.png

1667311705719.png

1667311714052.png


Screenshot ya links..,
1667311818869.png
 
Wakenya wote mmejazana ka Nairobi cz ndio mji pekee ambao kdg unaeleweka huko kwenu. Sisi huku maendeleo kote kote thus y tumetawanyika.
4 million ni wakenya wote, umelemewa sasa hauna la kujibu, una comment ilmradi tu, lizwazwa😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Kama sisi ndio biggest cash crops in Afrika tunacompete Coffee,Tea na maua na Nchi Kama India,Brazil only🤑😂sasa na Kama tungeamua kulima "mashakura" Kila mahali!!
Kumbuka pia sasa hivi Kenya Chakula zinaozea mashambani sio eti hatuna!!ni watu wenyewe hawajatia bidii kuziendea in places like Nyandarua food is rotting in shambas👌
Hizo mashamba za cash crops are they Kenyan owned .? 🤣🤣 Una brag kuzalisha cash crops while huna chakula, what kinda people are you.? Si ni ukichaa
 
your level of income na matatizo mlio nayo haikomboleki kirahisi...,
Ni rahisi kupiga hatua kwa haraka kutoka hapo tulipo kulikoni safari iliotuchukua kufika hapa leo...miaka kumi ijayo tunaweza kua na per capita ya $ 3000> kutoka hapa tulipo sasa $1135
 
Back
Top Bottom