Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

its distinctively clear..

2nd city of US-- los angeles
2nd city of australia-- melbourne
2nd city of brazil-- rio
2nd city of china-- shanghai
2nd city of spain-- barcelona
2nd city of egypt-- alexandria
2nd city of SA-- cape town
2nd city of uganda-- ??
2nd city of Drc-- lubumbashi
2nd city of ghana-- kumasi
2nd city of zimbabwe-- bulawayo
2nd city of tanzania-- ??
2nd city of germany-- frankfut
2nd city of sweden-- gotenberg
2nd city of kenya-- mombasa
2nd city of UAE-- dubai
2nd city of india-- hyderabad
🤣🤣 Wacha kua mjinga kwahy unaiweka Mombasa kwenye sentence moja na hizo miji nyingine au.? There's no single City in East Afrika which qualifies a city status in the chinese world
 
Kuna vitu vitatu nafikiri vitazungumzwa.

1) nadhani mh rais ameenda kutafuta wawekezaji

2) nafikiri watazungumza kuhusu reli ya tazara ijengwe Kwa kiwango cha Sgr kama unakumbuka mwaka huu rais wa Zambia alikuja tz na akaomba waangalie jinsi ya kujenga reli mpya ya tazara, kama tunavyojua hii reli ilijengwa na wachina Kwa jasho na damu.

3) pia nafikiri kuna mazunguzmo yatafanyika juu ya bandari ya bagamoyo.
Screenshot_20221027-181906_Chrome.jpg



Tazara kuwa SGR hilo lifute na lisahau kbsa.. angalia reli gan nyingine ipo connected na hio tazara, ndo ufikirie tazara kuwa SGR
 
Haya sasa ndio mabadiliko yanayotakiwa, Sio eneo lina render nzuri ila miaka 10 bado majengo mawili [emoji23].
Ubabaishaji tu kila sekta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa mnaotaka kujua tofauti ya train za Tanzania na Kenya kwamaana ya locomotive pulled coaches angalia utofauti kwenye HVAC system. Train ya Tanzania ni full AC and heating while ya Kenya ni ya kufungua dirisha na kutoa kichwa nje nikimaanisha ni ile ya kuchungulia nje.View attachment 2399498View attachment 2399499
Kwa speed ya 160km/hr sio salama kuwa na madirisha ya kufungua.
Pili ili kumaintain speed madirisha lazima yawe yamefungwa muda wote, upepo huwa una oppose speed.

Haya mabehewa ni ya kisasa Ukiacha mwonekano wa nje, which is not a big deal,
Hata milango yake inafungwa na kufunguliwa na dereva sio kuwa na watu wamesimama milangoni kama kondakta.
Seat ziko comfortable.
 
Hii ni dhihirisho kamili ya lack of exposure na ushamba mlio nayo.., tank ya maji ya zamani, kwenu mlikua watu wa visima na mito tu, mishamba, wakati mwingine funga bakuli lako unajiaibisha sana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mliiga design ili pafanane na kule ila mkafeli vby kama kawaida yenu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom