Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is going to reduce rice imports sana!
My prayer ni bei ya mchele ya mwea ishuke. Kwanza the pishori and basmati rice coz its very sweet compared to the fake import rice from Tanzania and Pakistan. Ni tamu sana hiyo mchele ya Mwea
Screenshot_20221027-160810.jpg
 
Mlime ule quality sio wa vitumbua ndio mtapunguza import,nani atachagua huo mchele over super rice from Kyela Tanzania..?
Ukionja mchele kutoka Mwea tuusan hutawahi tamani mchele kutoka Tanzania tena maishani. Harufu pekee ya pishori nikama marashi. Mwea kunalimwa Pishori aromatic rice kwa kiwango kikubwa pamoja na Basmati rice, Brown rice na type hizi zingine za kawaida za mchele
Screenshot_20221027-160043.jpg
Screenshot_20221027-161117.jpg
 
Mlime ule quality sio wa vitumbua ndio mtapunguza import,nani atachagua huo mchele over super rice from Kyela Tanzania..?
Pishori rice ya mwea is the best, hii rice inauza sana na ni expensive coz of quality, zile zenu za Tz ni cheap kwa soko, zinajulikana as low quality.., Mwea pishori ni noma, unaeza uliza tu mwenyewe kama hautaniamini..,
 
Uko sahihi,lakini wameamka na wanafanya mambo makubwa sio mchezo...speed yao ni kubwa mno
Egypt Kufikia SA ata quality ya life ya watu wake on average will be ages.., chunguza, compare pia lifestyle ya raiya wa hizi nchi mbili na service sectors.., SA iko mbele sana.., ata in Africa mambo mengi wakitaja nchi za Africa huwa reports zinasema "outside South Africa".., hiyo tu ni kiashiria wako dunia yao hapa Africa, Egypt bado..,
 
Hii ni kwaajili yako kaka Don YF .. pitia hii baadhi ya miradi mikubwa Egypt . One among the biggest fish farms on earth in Egypt 👇. Green House technology in Egypt supported by china 👇. Brand New Mansoura City in EgyptView attachment 2399394View attachment 2399396View attachment 2399398Nigeria ni joke bhana, hakuna kitu kule nae pia ni paper tiger tu

Hiyo firm I expect such coz it is their livelihood.., ila usisahau zile mechanized farming za SA thousands of acres.., Egypt kwa SA bado bro.., ila they are building up fast but bado wako chini ya SA kwa sasa, maybe hapa mbele sio mbali.., alafu ikija average standard of living, Egypt bado itakua chini ya SA by far!.., population yao ni kubwa sana, for them to feel the impact wanahitaji Uchumi wao yaani economic output (GDP) ikue level moja na ile ya Nigeria ama zaidi...,
 
Ukionja mchele kutoka Mwea tuusan hutawahi tamani mchele kutoka Tanzania tena maishani. Harufu pekee ya pishori nikama marashi. Mwea kunalimwa Pishori aromatic rice kwa kiwango kikubwa pamoja na Basmati rice, Brown rice na type hizi zingine za kawaida za mcheleView attachment 2399496View attachment 2399492
Hasa kama nyie mnaimport rice from tz huo sisi tunaupataje?manake hata nyie hauwatoshi
 
Egypt Kufikia SA ata quality ya life ya watu wake on average will be ages.., chunguza, compare pia lifestyle ya raiya wa hizi nchi mbili na service sectors.., SA iko mbele sana.., ata in Africa mambo mengi wakitaja nchi za Africa huwa reports zinasema "outside South Africa".., hiyo tu ni kiashiria wako dunia yao hapa Africa, Egypt bado..,
Nakubali ila wao watatutangulia sisi situnacheza tu apa
 
Hasa kama nyie mnaimport rice from tz huo sisi tunaupataje?manake hata nyie hauwatoshi
Sijui kuhusu Tanzania lakini apa Kenya Pishori na aina nyingi za mchele zipo madukani na soko Kenya kote, wewe kama mteja ndio unaamua ni mchele gani ungependa kununua pale. Kitu kinafanya wakenya kununua mchele kutoka Tanzania ni bei. Unapata pishori inaweza ikawa double price ya mchele wa Tanzania au Pakistan. Lakini pishori ingekua bei moja na mchele wa Tanzania automatically unaprefer pishori.
 
Why are you so foolish? Ni kuzaliwa au maumbile ya tanzania? Thiba dam was built to double rice production in Mwea irrigation scheme and put an extra 10,000 hectares under irrigation.
Ili uweze kulima mchele bila kungoja mvua, you need sufficient water in the rice paddies all year round. Na ndio maana hii dam ikajengwa sababu kitambo maji yalikua yakienda kwa rice paddies mara moja kwa mwaka. Kukikosa kunyesha, maji yanapungua kwa kiwango hadi hayatoshi kuweza kuflood kwenye rice paddies. Lakini sasa hivi maji yatakua yanaenda all year round kunyeshe kusinyeshe.
It's so funny kunyalander teaches me agriculture especially rice farming 😂😂😂😂

Funga mdomo bana kwanza hata sijaona dam hapo 😂😂😂😂
 
Wakulima wa Mwea walikua wanategemea mto Thiba ambao unapunguza maji kwa kiwango kikubwa sana wakati mvua hazinyeshi. Now that kuna dam, hakuna mambo ya maji kupungua tena. Ni kulima all year round.
Wakulima wa nini wewe nyumbu hapo kuna mradi wa wakulima au backyard gardeners?
 
My prayer ni bei ya mchele ya mwea ishuke. Kwanza the pishori and basmati rice coz its very sweet compared to the fake import rice from Tanzania and Pakistan. Ni tamu sana hiyo mchele ya Mwea View attachment 2399490
Taahira wewe hiyo ni repackage ya mchele kutoka Tanzania, hamuwezi kujilisha hata kwa County moja

Mchele wa Tanzania upo mpaka mbele!



 
Ukionja mchele kutoka Mwea tuusan hutawahi tamani mchele kutoka Tanzania tena maishani. Harufu pekee ya pishori nikama marashi. Mwea kunalimwa Pishori aromatic rice kwa kiwango kikubwa pamoja na Basmati rice, Brown rice na type hizi zingine za kawaida za mcheleView attachment 2399496View attachment 2399492
Wewe Funga mdomo kwenye mambo ya vyakula jiondoeni kabisa Yaani hampo, Tanzania ni sayari nyingine kwenye hizo anga

images - 2022-10-27T170222.736.jpeg
images - 2022-10-27T170146.083.jpeg
 
Back
Top Bottom