Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ni kwaajili yako kaka Don YF .. pitia hii baadhi ya miradi mikubwa Egypt . One among the biggest fish farms on earth in Egypt 👇. Green House technology in Egypt supported by china 👇. Brand New Mansoura City in Egypt
305746379_840414564002085_3338324941026044874_n.jpg
66474.jpg
MansouraCity3.jpg
Nigeria ni joke bhana, hakuna kitu kule nae pia ni paper tiger tu
 
Yes niliwahi kupitia miradi yao hawa watu, wako na miji mingi tu wanajenga simultaneously.. they ar slowly becoming one of the most powerful countries on earth.. kwa maoni yangu Egypt ni balaa neither SA nor Nigeria inaweza shinda Egypt
Ila SA bado wako juu ya Egypt, ata standards, ukitazama city nne zile major kule Egypt, yaani; Cairo, Alexandria, Giza na Shubra el-Khema, kisha uangalie major cities in South Africa; Johannesburg, Cape Town, Durban na Pretoria.., Egypt wako down sana.., zile conjested cities na residentials za kishamba zinakaa Yemen type u can't compare na ile class iko SA., SA ni Europe ya Africa, ila Egypt wanajaribu kutengeneza Dubai lakini bado...,
 
Iyo New city imeattract foreign investors wengi sana pale,And minds you wanapiga miradi mingi mikubwa at once...

Dangote refinery ni kazi nzuri kubwa haina ubishi ila haitaweza cover FDI zinazomiminika Cairo kwa sasa

Sheikh Zayed city Egypt
View attachment 2399363
Wakati nchi nyingine zinajenga digital cities like this, Kenya bado njaa ni kitendawili, hii Egypt 90% ni jangwa lakini huoni njaa ikiwatesa namna Kenya inateseka na njaa na sioni Ikiisha leo wala kesho, ukiangalia mikopo Kenya iliochukua na value for loans materialized ni huzuni
 
Hawa Wakenya ni mbwa sn, wanaiga kila kitu, sio wabunifu kabisa. Hapa nilikuwa napita mitaa fulani huko Sweeden kwa Euro truck simulator 2 nikakutana na hii ambayo wameiga ila yao ina muonekano mbaya kama Kawaida yao low quality View attachment 2399386View attachment 2399387View attachment 2399388
Hii ni dhihirisho kamili ya lack of exposure na ushamba mlio nayo.., tank ya maji ya zamani, kwenu mlikua watu wa visima na mito tu, mishamba, wakati mwingine funga bakuli lako unajiaibisha sana 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Is that where I came?

During a press conference while visiting Kenya, Spain's Prime Minister Pedro Sanchez made a rather unfortunate gaffe - incorrectly referring to his host, President William Ruto, as the president of Senegal

But this was not enough for the prime minister, and during his speech he continued to maintain that he was visiting Senegal, and not a country on the other side of the continent.

Sanchez' address was interrupted briefly by Ruto who corrected him as he laughed off the gaffe

Subscribe to @sputnik_africa


Hata ruto hajulikani anatokea wapi. Kunyaland haijulikani kabisa
 
Mlivyo hamna akili mnaenda kujenga irrigation project kwenye maeneo yanayopokea mvua za kutosha kwa majira, ukabila ndio unawapelekea kufanya hivi!

Kwanini hii pesa msingeiwekeza kwenye maeneo yenye mvua chache na kame?

View attachment 2399469
Why are you so foolish? Ni kuzaliwa au maumbile ya tanzania? Thiba dam was built to double rice production in Mwea irrigation scheme and put an extra 10,000 hectares under irrigation.
Ili uweze kulima mchele bila kungoja mvua, you need sufficient water in the rice paddies all year round. Na ndio maana hii dam ikajengwa sababu kitambo maji yalikua yakienda kwa rice paddies mara moja kwa mwaka. Kukikosa kunyesha, maji yanapungua kwa kiwango hadi hayatoshi kuweza kuflood kwenye rice paddies. Lakini sasa hivi maji yatakua yanaenda all year round kunyeshe kusinyeshe.
 
Why are you so foolish? Ni kuzaliwa au maumbile ya tanzania? Thiba dam was built to double rice production in Mwea irrigation scheme and put an extra 10,000 hectares under irrigation.
Ili uweze kulima mchele bila kungoja mvua, you need sufficient water in the rice paddies all year round. Na ndio maana hii dam ikajengwa sababu kitambo maji yalikua yakienda kwa rice paddies mara moja kwa mwaka lakini sasa hivi yatakua yanaenda all year round kunyeshe kusinyeshe.
Ujinga yenye hawa watu wako nayo ni wa kipekee, jama huwa wanaandika guesswork tu, kile mtu anafikiria, yaani he looks at Kenya using Tanzanian poverty lenses, so view yake iko corrupted anafikiria tuko level moja ya kufanya mambo kama wao, yaani wanashutukiaga tu wameamua kufanya kitu bila due diligence., their Govt aim at appearance and PR more than value in their projects 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Ila SA bado wako juu ya Egypt, ata standards, ukitazama city nne zile major kule Egypt, yaani; Cairo, Alexandria, Giza na Shubra el-Khema, kisha uangalie major cities in South Africa; Johannesburg, Cape Town, Durban na Pretoria.., Egypt wako down sana.., zile conjested cities na residentials za kishamba zinakaa Yemen type u can't compare na ile class iko SA., SA ni Europe ya Africa, ila Egypt wanajaribu kutengeneza Dubai lakini bado...,
Uko sahihi,lakini wameamka na wanafanya mambo makubwa sio mchezo...speed yao ni kubwa mno
 
Mlivyo hamna akili mnaenda kujenga irrigation project kwenye maeneo yanayopokea mvua za kutosha kwa majira, ukabila ndio unawapelekea kufanya hivi!

Kwanini hii pesa msingeiwekeza kwenye maeneo yenye mvua chache na kame?

View attachment 2399469
Wakulima wa Mwea walikua wanategemea mto Thiba ambao unapunguza maji kwa kiwango kikubwa sana wakati mvua hazinyeshi. Now that kuna dam, hakuna mambo ya maji kupungua tena. Ni kulima all year round.
 
Wakati nchi nyingine zinajenga digital cities like this, Kenya bado njaa ni kitendawili, hii Egypt 90% ni jangwa lakini huoni njaa ikiwatesa namna Kenya inateseka na njaa na sioni Ikiisha leo wala kesho, ukiangalia mikopo Kenya iliochukua na value for loans materialized ni huzuni
Wanasema kenya ni kame Sa na Egypt wasemeje?hawa ni wapuuzi tu
 
Back
Top Bottom