Sisi waafrika tungali na akili timamu tunatakiwa tushirikiane na China sana kwa maendeleo ya watu wetu wasasa na vizazi vijavyo, china sio mchoyo wa kutoa tekinolojia yake, ila tusiiwaache kabisa US mana kwasasa ni adui mkubwa wa dunia, ukimuuacha tu anakutengenezea zengwe upotelee mbali, kesi za ushenzi huo ni nyingi sana hapa AFrica, Libya, Zimbabwe, Somali n.k yote haya ni mataifa mazuri yaliyosambaratishwa na ushenzi wa marekani..
China for our future (miradi yenye tija)
US kwaajili ya kujihami tu,
Hawa ni watu wabaya hawataki kabisa kuskia tunajitegemea