Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya!!!
1666692118316.png

1666692132624.png

1666692142976.png

1666692152241.png

1666692162140.png
 
We pambana na hizi hizi shule aisee hakuna namna mana maeneo mengine ni aibu, tena I bet picha mpya za hizi shule zitakuwa na mauchafu kila kona.
Wewe stick na uswazi zeni bana, hizo shule ni ndoto kweni ya miaka elfu na hamtaziona.., nyie bado mko porini yaani liko wazi sana.., wewe najua unaishi sehemu moja hapa.., haujui estate ni nini, bladfwakin kabisaa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1666692403917.png

1666692263974.png

1666692277769.png

1666692302759.png
 
Hapo hakuna slums hapo, hizo ni nyumba decent zina kila kitu mzee, picha imechukuliwa mawinguni lkn bado huwezi kuona slums
Mbona unajitetea mimi sijasema ni slums, hapo najua ni Eastlands ya Dar, sio slums, ila picha zinajieleza tu, ground ni hivi 👇 👇 👇 👇 .., na ujue ni kubwa imetapakaa Dar karibia yote.., sio sehemu sehemu tu, nilete mazuri ya Dar haya yanachosha bana ama muliishiwa kabisaa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1666692953132.png

1666692814600.png

1666692825001.png

1666692835844.png

1666692846405.png

1666692928718.png

1666692939842.png

1666692875236.png
 
Hawa hawana anything for rebuttle, ni "hot air" tu.., tuliwabana zamani, wacha walilie lie na kutapatapa as we have fun
Mnapakataa kwenu au sio, haya nipe picha mpya za hapa ili nijue mmebomoa jana leo mmejenga, jikubalini na hali yenu na muwache uchafu mnatia kinyaa
Screenshot_20221025-123004.jpg
tapatalk_1252765415_360x480.jpg
tapatalk_-1100796151_510x680.jpg
tapatalk_1128955518_288x512.jpg
tapatalk_931925853_510x680.jpg
tapatalk_-118217734_384x512.jpg
tapatalk_-1503882826_680x680.jpg
tapatalk_6867661_360x480.jpg
 
Back
Top Bottom