Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yani Tanzania na mnavyojifanya eti mmejenga mabarabara mpaka top 10 in Afrika hamjafika🚮🚮🚮Mmepitwa almost double na Uganda😂😂😂😂😂😂
"Kazi tu" msemo wenu huo!!🔈🔉🔊🦗🚮
 
Jengeni new terminal wacheni uzembe, mtategemea wakoloni mpk lini wapuuzi nyie
Jinyonge...,
1666174503971.png

1666174450399.png

1666174459232.png

1666174468514.png

1666174479523.png

1666174489571.png

1666174521868.png
 
Kwa sifa za kikunya unaweza kuta hizi ni kama kisebure tu kinapigwa picha kwenye angle tofauti . Prove me wrong by sending video
Mimi sio mwehu kama mlivyo nyinyi, yaani hauamini!😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Ushamba ni mzigo.., kwa ushamba ulio nao wewe unaona hii ni sitting room with those machines? alafu sitting room inaitwa sebule sio sebure kilaza 😂 😂 😂 😂 😂😂😂😂😂
1666187746582.png

 
Kuna mtu alidelete hii post jana usiku.

Nilienda kutoa tofali kadhaa kwa nyang'au wakubwa huko Kenya.

Ujinga laana isio kua na tiba., mnahitaji tambiko ili mpone, mko hovyo upstairs 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Ujinga laana isio kua na tiba., mnahitaji tambiko ili mpone, mko hovyo upstairs 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂


Sasa kama sisi ni Wajinga nyie mliowapa mashamba yenye rutuba Wazungu walime Chai, Mirungi, Kahawa na maua mkoje upstairs?

Sio nyie kila kukicha mnakufa na njaa?
 
Back
Top Bottom