Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


IMG_7472.jpg
 
Namuona yuko slow sana mkuu. Asilimia 14 hazisongi kabisa.
Labda sasa hivi wataanza kwenda kasi maana kambi zote zimekamilika, hata ile ya mwanza mjini imekamilika na wameanza kuzungushia bati baadhi ya maeneo.
Kiukweli speed hairidhishi mimi Nina wasiwasi na malipo, mchina huwa hana tabia ya kudelay mradi
 
I see a lot of Kenyan folks doing these kinds of road trips & hikes, ion know where they get the narrative "wakenya wana njaa"

Nikianza thread kama izo zitajaa huku
 
Hawa ndio wanasema wanaongoza kwenye sekta ya afya? Wagonjwa wanalala wanne kwenye kitanda kimoja tena hapa ni Nairobi, hospital looks like dumpster, horrible care!

 
Labda sasa hivi wataanza kwenda kasi maana kambi zote zimekamilika, hata ile ya mwanza mjini imekamilika na wameanza kuzungushia bati baadhi ya maeneo.
Kiukweli speed hairidhishi mimi Nina wasiwasi na malipo, mchina huwa hana tabia ya kudelay mradi
Yeah! Kwenye malipo inawezekana anacheleweshwa. Ila kama vituo vimekamilika hope so ataenda kwa speed kubwa.
 
Back
Top Bottom