TECHB
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 703
- 1,632
Hii haina tofauti na bwana mmoja anayemiliki Maybach, Maserati, Range, Tesla, Ferrari.....
Halafu anatokea Otieno flani hivi anamiliki bakuli 26,probox,probox, boda,guta........mama.e!














Na wakipata naomba unitag na mm nione maajabu ya musa na firauni 😂😂Ile cku mtanionesha hospitali ya serikali inayofanya bone marrow transplant in Kenya ndiyo cku naondoka jamiiforums![]()
Kwenye sekta ya afya tuko mbali sn kwa ss, na mm nadhani tusiwe tunajilinganisha nao mana tumewaacha mbali mno yn ni sawa na man city ijilinganishe na Gor Mahia, ofcoz kuna vitu hatupaswi kujilinganisha na nchi yoyote Africa mashariki hususan SGR, public transport service, Electricity, health sector, bridges, airports, bus terminals, markets, tourism industry, food availability yn hizi ni sector ambazo ni aibu kuanza kujilinganisha na hivi vinchi vya Africa mashariki na kati ni aibu.Na wakipata naomba unitag na mm nione maajabu ya musa na firauni
maji marefu awawez ogelea hao wattoSehemu pekee ambayo Wakenya wanaweza kujilinganisha na Tz ni kwenye real estate ambapo japo tumewazidi kwa gape la $3b lkn kdg wanaweza kujilinganisha na sisi na hata hivyo Dodoma inakwenda kukata mzizi wa fitina soon.
ASEEEEEE me kama mkenya naomba miamba ya Mwanza iniangukie tyu nimejaaa wivu nkiona TZ wanajenga vitu vyenye atuna hahahahahahahahahahahahaaa shenzi sana kunyaniiiiiii
kimataifa zaidi ila apa iyo ni kimalimwengu na galaxy zoote
And your private hospitals are disgusting. 😀 😀
Wachina-china sio poa! Wanajua sisi ndio wana wa ukweli Africa, hivyo wakifanya kila jambo wanafanya jambo la kwenda na lililo nyooka.
Those prostitutes of diplomacy ni mwendo wa magofu na vitu substandard tu!![]()











Nimependa hii terminal inajengwa ufukweni mwa lake Victoria, sidhani kama kuna train terminal maarufu iwe Africa au kwengineko iliojengwa ufukweni, yaani unaweza sema ni 5 star touristic hotel kumbe ni train terminal!