Msifike huko wakuu [emoji3].. kuwatuhumu marais kujenga makwao.. mim sion shida kbsa marais kujenga makwao.. huko kwao pia ni sehem ya Tanzania, hivyo ni maendeleo kwa Tanzania... mfano niliwah kusikia pemba kutajengwa airport mpya.. hio ni habari njema kwangu.. mana zanzbar itafunguka yote kwa kuwa na international airports mbili za kisasa.. hio ni habari nzuri.. nikisikia hata hela zitamwagwa huko kujenga barabara za lami, hospitals, schools, hizo ni habari njema pia kwangu. Mana Zanzbar ni Tanzania pia