Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watu washamba kweli siku hizi watanzania kutoka vijijini kwetu sio issue usafiri bei chee barabara kibao unaongea na mtu ambae mamaangu ni wa kusini mtwara mshua wa kaskazini Kagera pua na mdomo na kijikenya chako na sasa nipo Dar es salaam niambie sasa sijatoka kijiji kipi cha kusini cha kaskazini afu tuweke mambo Sawa kama vipi endelea Kula msoto
So wewe hata si wa dar…. Hehe so just a village boy ambaye anaona it’s an achievement sasa yuko dah. Ndo maanake unaona dah kama mbinguni safiri ujionee Mwenyewe uwache ushamba mwingi na propaganda
 
Watu washamba kweli siku hizi watanzania kutoka vijijini kwetu sio issue usafiri bei chee barabara kibao unaongea na mtu ambae mamaangu ni wa kusini mtwara mshua wa kaskazini Kagera pua na mdomo na kijikenya chako na sasa nipo Dar es salaam niambie sasa sijatoka kijiji kipi cha kusini cha kaskazini afu tuweke mambo Sawa kama vipi endelea Kula msoto
Na Msoto labda wewe ndo you enjoy msoto me on my to the airport destination Cairo we Baki ukisifia Eti umesafiri to dah
246EBDBB-A7D1-44C5-9AB9-B546D5DCE5E6.jpeg
 
So wewe hata si wa dar…. Hehe so just a village boy ambaye anaona it’s an achievement sasa yuko dah. Ndo maanake unaona dah kama mbinguni safiri ujionee Mwenyewe uwache ushamba mwingi na propaganda
Me sio wa Dar ndio wala sikatai ila ni Mtanzania dar si ipo Kenya
 
Ila Arusha inahitaji km zaidi za lami ili iendane na hadhi yake ya East Africa federation capital city!

PAX Terminal U/C


Mama anajitahidi! watu wanapinga mama kuchukua mkopo Abu Dhabi Fund wakati bila hivyo SGR ingechukua miaka mingi kuisha!
Sana upande wa barabara bado hawajafikia kiwango kile...bado wanahitaji miradi kibao
 
Sina data ya Nairobi ila minimum wage Nairobi ni Kshs. 15120 per month meaning minimum wage ya Nairobi ni more than what 85% of Darlites earn.

Jibu zuri ni Huna takwimu Ahsante
 
Tangu kufa kwa Magu hatuoni tena barabara za mitaani zikijengwa wala miradi ya maana, zaidi ni miradi ile ile aliyoiacha na isitoshe speed imepungua kabisa, hawajui waanze lipi wamalize na lipi, vimiradi vidogovidogo kama flyover vinatumia miaka mitatu na havijamalizika mpk leo alafu mnawapa airtime kina Kivevele kuongea.
Hii man sidhani kama ni sahihi, barabara za mtaa wakati wa JPM zilijengwa na DMDP phase 1 ambayo imeisha, phase 2 ndio hiyo wanataka kuanza. Lakini pia speed ya vibarabara vya mtaa si haba, naona TARURA wamekomaa na juzi wamepewa mpunga mrefu. Tuwe positive guys, I can still see the bright future in this country.
 
Wakati Kunyaland Wana struggle na madeni ,Tanzania tunaendelea kuvuma pesa kutoka kwenye migodi. 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221002-133935.png
    Screenshot_20221002-133935.png
    130.3 KB · Views: 23
Huna maisha wewe upo Cairo hahaha hapo mm juz nilikuwa Amsterdam wewe huko si unaendaga ndotoniiView attachment 2374820
Na bila aibu Una post this picture unakaa kijakazi…. Poor quality clothing na pimple zinainyesha hutunzi Sura vizuri hehe kuna difference kutembea nje kujivinjari na kuenda kuteseka nchi ya wenyewe kukaa kijiweni
 
😁😁😆 Poleni Sana Kunyaland kwa Kuangukia pua Kuhusu Bomba la EACOP .

Ujenzi uko pale pale👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221002-133949.png
    Screenshot_20221002-133949.png
    135.3 KB · Views: 25
Hapa pia wanakataa sii Dar. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


View attachment 2374719
Dar ya babaako [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20221002-111600.jpg
 
Hii man sidhani kama ni sahihi, barabara za mtaa wakati wa JPM zilijengwa na DMDP phase 1 ambayo imeisha, phase 2 ndio hiyo wanataka kuanza. Lakini pia speed ya vibarabara vya mtaa si haba, naona TARURA wamekomaa na juzi wamepewa mpunga mrefu. Tuwe positive guys, I can still see the bright future in this country.
tatizo mama hafanyi propaganda kama Mwendazake! Lazma wakubishie!
 
Back
Top Bottom