Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 2373537

Nairobi in one picture, acha kukata map, ngoja nikuwekee full image, I've been mapping settlement pattern ya Nairobi for past 2 years, angalia kuanzia Airport hadi kasarani

View attachment 2373537



View attachment 2373545View attachment 2373555View attachment 2373560View attachment 2373545View attachment 2373555View attachment 2373560

This one picture ya Nairobi ngalia kiwango cha majengo ya slums za mabati, then angalia magorofa ya udongo, then tatufa appartment zenye wastani ambazo most Kenyans hawawezi kukaa...

Angalia huku chini kabisa kuna slum kubwa sawa but something very interesting, badala ya watu kujenga kwenda kwenye nafasi wameenda kulundikana in a single place
Tazama jiji lilivyopangika alafu ulinganishe na huu utopolo mnaita Dar is Slum.

111.jpg
 
Watanzania, 2025 tutafute Rais mwingine.. huyu wa sasa hamna kitu, kafeli, ni kama vile hakuna Rais. Sioni watu/viongozi wakiajibika. Mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, viongozi wa taasisi za serikali na umma wengi wao wote wapo kimya. Kiufupi viongozi na wananchi hawana hata enthusiasm na uongozi wa sasa
Kabisa
 
Nairobi ni very tiny tiny, more than 50% ni pori ama eneo ambalo halijajengwa, then maendeleo mengi yamekusanyika kando kando ya barabara...

Mfano Ukiangalia google map satellite view upande wa Mombasa road utaona karibu 60% ya pisha wanazoshare humu zikiwa upande mmoja na upande mwingine hadi unatoka Nairobi ni pori na mbuga.

Kuna mtu amesema most ya wakazi wa Nairobi wanaishi kwenye magorofa ya udongo, the fact is, hayo majengo most of them ni single bedroom na vyumba ni vidogo sana, vyoo na usafi ni 0%, na kila jengo ni danguro
Umechambua vzr sn mkuu.
 
Hii serikali inatoa wapi pesa za kujenga longest SGR in Africa na Nyerere Dam na miradi mingine mikubwa ukanda huu na bado wana pesa za kuchezea kwenye huu mradi? Nani anawafinance?

Kaka Berth Hazijengwi zote kwa wakati mmoja wanaweza wakajenga berth moja moja lets say unakuta cost ni 200mil usd kwa berth ...alfu kuanzia mwaka ujao down payments ya Ndege itaanza kupungua maana most planes arrive next year na plan ya GOT ni kuwa na 19 planes hadi 2025
 
Wewe ni mpuuzi sana.., Kirigiti iko nje ya Nairobi.., hii hapa Nyayo stadium inaijibu kikamilifu, idiot [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
View attachment 2373663
View attachment 2373656
View attachment 2373658
View attachment 2373659
View attachment 2373660
View attachment 2373662
View attachment 2373665
View attachment 2373667
Uwanja uko wazi kabisa, mvua ikinyesha hamna shuhuri, asilimia kubwa ya washangiliaji wanakaa chini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Dar Iko na viwanja vinne vya mpira vya maana mzee..

Lupaso stadia
Uhuru stadia
Azam stadia
KMC stadia U/C

Hivi ni kando na Kigamboni football academy.. the biggest football academy in the region
Also U/C [emoji116]View attachment 2373672View attachment 2373673View attachment 2373674View attachment 2373675View attachment 2373676View attachment 2373677
Kwenye hili mtuache kidogo manzee [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Alitaka kusema ni render umepost [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom