Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,112
- 10,550
Samia suluhu housing scheme kuanza kurindima wiki ijayo 👇.
Tuliwatangulia na bado tunaendelea.., fuata nyayo zetu, hamtapotea njia 😂 😂 😂 😂
Samia suluhu housing scheme kuanza kurindima wiki ijayo 👇.
Kwenye picha niliyoonesha ni sehemu gani ya Nairobi hujaiona?Yaani porojo na propaganda hujambo, hapo picha moja inaonyesha nairobi yote kivipi boya? unaumia kweli😂😂😂😂😂😂 nikama tu Dar same distance view..,
Dar is nothing! uswazi tupu..,
View attachment 2373583
View attachment 2373587
Alafu naona Nairobi iko well organized.., watu wamejenga vizuri sana, ata hiyo slum ni kidogo ukilinganisha.., ama unabisha? weka google earth view yote tulinganishe makazi yote ukubwa vs slums..,View attachment 2373537
Nairobi in one picture, acha kukata map, ngoja nikuwekee full image, I've been mapping settlement pattern ya Nairobi for past 2 years, angalia kuanzia Airport hadi kasarani
View attachment 2373537
View attachment 2373545View attachment 2373555View attachment 2373560View attachment 2373545View attachment 2373555View attachment 2373560
This one picture ya Nairobi ngalia kiwango cha majengo ya slums za mabati, then angalia magorofa ya udongo, then tatufa appartment zenye wastani ambazo most Kenyans hawawezi kukaa...
Angalia huku chini kabisa kuna slum kubwa sawa but something very interesting, badala ya watu kujenga kwenda kwenye nafasi wameenda kulundikana in a single place
🤣🤣🤣🤣 Ni kama huijui Tz au ni kulazimisha nyeupe kuwa nyeusi.. kabla uondoke DAR kwanza apart from mkapa a.k.a Lupaso stadia kuna Uhuru stadium 👇Hakuna kama Kirigiti njee ya ile moja ya Dar.., usilazimishe kile hakipo kiwe, haiwezekani, mapambio yako nimezoa, potelea mbali kilaza, nenda ukadanganye pengine wamalawi na domo domo 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Nilidhani ulisema Nairobi iko kwa picha moja.., haiwezekani, umejaribu kupotosha kwa kuweka kwa umbali lakini haujatoboa, sasa leta hizo picha zote kwa karibu, kisha tulinganishe na Dar.., mko hovyo jikubali, ukubwa wa Dar ni udong na makazi uchwara iliyo tapakaa kote kote..,Kwenye picha niliyoonesha ni sehemu gani ya Nairobi hujaiona?
Ingia google earth halafu search " kijichi" halafu ndo utajua kuwa DAR ni kubwa kiasi ganiNilidhani ulisema Nairobi iko kwa picha moja.., haiwezekani, umejaribu kupotosha kwa kuweka kwa umbali lakini haujatoboa, sasa leta hizo picha zote kwa karibu, kisha tulinganishe na Dar.., mko hovyo jikubali, ukubwa wa Dar ni udong na makazi uchwara iliyo tapakaa kote kote..,
Mbona umechukua picha moja ndugu 🤣, na hizi picha zina afadhani nimeonesha kwa juu, nimewahi kutembelea na kuingiaNilidhani ulisema Nairobi iko kwa picha moja.., haiwezekani, umejaribu kupotosha kwa kuweka kwa umbali lakini haujatoboa, sasa leta hizo picha zote kwa karibu, kisha tulinganishe na Dar.., mko hovyo jikubali, ukubwa wa Dar ni udong na makazi uchwara iliyo tapakaa kote kote..,
Alafu naona Nairobi iko well organized.., watu wamejenga vizuri sana, ata hiyo slum ni kidogo ukilinganisha.., ama unabisha? weka google earth view yote tulinganishe makazi yote ukubwa vs slums..,
Yaani umeweka picha kwa umbali ili upotoshe but wapi...,
View attachment 2373645
Wewe ni mpuuzi sana.., Kirigiti iko nje ya Nairobi.., hii hapa Nyayo stadium inaijibu kikamilifu, idiot 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂🤣🤣🤣🤣 Ni kama huijui Tz au ni kulazimisha nyeupe kuwa nyeusi.. kabla uondoke DAR kwanza apart from mkapa a.k.a Lupaso stadia kuna Uhuru stadium 👇View attachment 2373646View attachment 2373648View attachment 2373649
Naijua Tanzania bana, usiwe mwehu mbele yangu, tafuta wa kudanganya.., jiji moja sio Tanzania yote kilaza.., ikija kupanga miji, mnasoma kwetu.., 2025 sio mbali, Tanzania itakua mahali iko kwa sasa, or very slight change, mnajikokota kukamilisha miradi, sioni mabadiliko in 2025, yenye mtakua mmefanya ya kutushangaza.., nimekua hapa kwa muda mrefu nawajua nje ndani.,View attachment 2373661
Ina maana hii hujaiona. Ni mwaka wa pili nimekuwa nikifanya utafiti jinsi Dodoma inaweza kuwa transformed into modern capital city in comparison to other cities in Africa and beyond.
Nakutaka siku moja ufike mji wa serikali wa Magufuli na unaojengwa, na utembelee Westlands na Upper hills huko kwenu, alafu tuone kama 2025 hamtaitukana serikali na watu wake wakupanga miji kwa nini hawajifunzi Tanzania
View attachment 2373661
🤣 🤣 🤣 Sasa mbona unakuwa subjective?Naijua Tanzania bana, usiwe mwehu mbele yangu, tafuta wa kudanganya.., jiji moja sio Tanzania yote kilaza.., ikija kupanga miji, mnasoma kwetu.., 2025 sio mbali, Tanzania itakua mahali iko kwa sasa, or very slight change, mnajikokota kukamilisha miradi, sioni mabadiliko in 2025, yenye mtakua mmefanya ya kutushangaza.., nimekua hapa kwa muda mrefu nawajua nje ndani.,
Itakua vizuri, hapa sipingi, ila tatizo nikutimiza mipango yenu.., nawaombea heri njema.🤣 🤣 🤣 Sasa mbona unakuwa subjective?
Kunazia 2015 we planned the cities of the future
🤣🤣🤣 Dar Iko na viwanja vinne vya mpira vya maana mzee..Wewe ni mpuuzi sana.., Kirigiti iko nje ya Nairobi.., hii hapa Nyayo stadium inaijibu kikamilifu, idiot 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
View attachment 2373663
View attachment 2373656
View attachment 2373658
View attachment 2373659
View attachment 2373660
View attachment 2373662
View attachment 2373665
View attachment 2373667
🤣🤣🤣 Dar Iko na viwanja vinne vya mpira vya maana mzee..
Lupaso stadia
Uhuru stadia
Azam stadia
KMC stadia U/C
Hivi ni kando na Kigamboni football academy.. the biggest football academy in the region
Also U/C 👇View attachment 2373672View attachment 2373673View attachment 2373674View attachment 2373675View attachment 2373676View attachment 2373677
Kwenye hili mtuache kidogo manzee 🤣🤣🤣
How many football stadias ar in NAIROBI so far.? 🤣🤣🤣Naona umetia adabu, umeanza kuongea kwa heshima..,
Nyayo stadium, upclose view..,
View attachment 2373678
View attachment 2373671
View attachment 2373680
KasaraniHow many football stadias at in NAIROBI so far.? 🤣🤣🤣
Huyo karopoka asiichokijua,ajaangilia km wala vyanzo vyovypte vinavyokidhi kwenye kufanya ulinganishi.Hadi nimeamua kuchangia, unaweza kuleta hayo madaraja mawili, ongeza na mengine 10 kama yako alafu ulete daraja la kingongo busisi tulinganishe
[emoji1787] [emoji1787]
Hii City stadia ni joke 🤣🤣🤣 usitaje hii uchafu.. ma viwanja ya hivyo yapo kila kona hapa DAR na siwezi taja humu .. ruaka stadia ni ipi heb leta tuone hapaKasarani
City stadium
Nyayo Stadium
Ulinzi Stadium, Lang'ata
Ruaraka stadium