Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwamba jamaa wanaadress suala la njaa kwa lugha ya Kiingereza [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sindio hapo man
 
Majirani wana Njaa naona Pres Ruto akijipanga kuwapa chakula cha Msaada, kinachoboa ni icho kingereza kingi alafu jambo linalozungumzwa ni Njaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....Matumizi ya lugha yakibiashara kuzungumzia vitu vya aibu
Nmecheka sn [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hahahaha acha matani nanii, mtoe wapi forest ninyi? Kwanza Kenya woodland ni 5% tu wakati Tanzania ni zaidi ya 60% sasa mnakuaje na biggest forest wakati hata Rwanda wamewazidi? Halafu mnakuaje na source ya ziwa ambalo mnalo kwa only 12% wakati 53% ya Victoria lipo Tanzania?
Bange wanazovuta wakenya si za dunia hii[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Maana si kwakujiondoa stress kiasi hiko
 
hii ramani, ukiitizama polepole, na uitafakari[emoji848][emoji848] utaelewa mbona.
nb: drought is the act of God, sio kupenda kwetu

View attachment 2369128
Nyie na Saudi Arabia nani wana jangwa kubwa, mbn wale hawana njaa na bado wanawaletea chakula cha msaada, alafu hivi huwa mnatumia kigezo gn kujilinganisha na Tz nchi isiyo na njaa na iliyoendelea kiteknolojia kuliko nyie?
 
Actually money to purchase it was from USAID and purchased from Tanzania.
Firstly, you have no prove that it is purchased from Tanzania. Secondly, if it is, then it is purchased like you said. So why are you people saying you donated the food if it is purchased?
 
Firstly, you have no prove that it is purchased from Tanzania. Secondly, if it is, then it is purchased like you said. So why are you people saying you donated the food if it is purchased?
Achana na hawa wendazimu, video imeonyesha vizuri chakula kimetolewa na serikali ya Kenya, wao wanaleta majigambo eti ooh Tanzania this Tanzania that. Tazama bango.............chakula kingekuwa kimetolewa na Tanzania ama WFP logo ingewekwa. Hawa wameanza kurukwa na akili.

111.jpg
 
Back
Top Bottom