Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Achana na hawa wendazimu, video imeonyesha vizuri chakula kimetolewa na serikali ya Kenya, wao wanaleta majigambo eti ooh Tanzania this Tanzania that. Tazama bango.............chakula kingekuwa kimetolewa na Tanzania ama WFP logo ingewekwa. Hawa wameanza kurukwa na akili.

View attachment 2369178
Yani wamejaribu njia zote za kujipiga kifua wameshindwa. Walianza eti kimetoka Tanzania, ukawabwaga, wamekuja sasa eti ni cha WFP with donations from Tanzania, pia umewabwaga.
 
Yani wamejaribu njia zote za kujipiga kifua wameshindwa. Walianza eti kimetoka Tanzania, ukawabwaga, wamekuja sasa eti ni cha WFP with donations from Tanzania, pia umewabwaga.
Hivi wewe unadhani Tanzania ikidonate chakula Kenya humu munaweza kalika? Si kila mtoto Tanzania atauimba wimbo? Si hata bungeni kutajadiliwa? Unadhani hatutochoka humu tukipostiwa link na screenshots like forever? Hehehe, wewe huwajui hawa jamaa. 🤣
 
Hivi wewe unadhani Tanzania ikidonate chakula Kenya humu munaweza kalika? Si kila mtoto Tanzania atauimba wimbo? Si hata bungeni kutajadiliwa? Unadhani hatutochoka humu tukipostiwa link na screenshots like forever? Hehehe, wewe huwajui hawa jamaa. 🤣
Jamii Forums instagram ingekuwa ishaupdate. Kule facebook na twitter wangeanzisha battle. 🤣
 
Firstly, you have no prove that it is purchased from Tanzania. Secondly, if it is, then it is purchased like you said. So why are you people saying you donated the food if it is purchased?
It was purchased from Tz by WFP and given to one of the poorest country in the world as a donation to save laziest people on Earth.
 
We unaweza ukawa freelancer malipo yako unalipwa kulingana na unachokiuza[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nchi ya njaa, yn wataleta vimbwembwe vyao lkn wanakuja kupata aibu sehemu ndogo tuu, msosi, yn kila mwaka wimbo ni msosi, msosi, msosi alafu wanataka kushindana na Tz [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hivi wewe unadhani Tanzania ikidonate chakula Kenya humu munaweza kalika? Si kila mtoto Tanzania atauimba wimbo? Si hata bungeni kutajadiliwa? Unadhani hatutochoka humu tukipostiwa link na screenshots like forever? Hehehe, wewe huwajui hawa jamaa. 🤣
Sisi vile tuliwapea donation uliona vile Magufuli alikenua meno?
 
Ingekuwa ni wao walitupea bado wangekuwa wanashare screenshots humu.
Sisi tuliwapea donation pesa na hata hatujairinga nayo😂😂

KAZUNGU-DONATE.jpg
 
Back
Top Bottom