Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yes, your private sector is dead. In Kenya, both the private sector and the government builds that's why Nairobi is second only to Johannesburg in Subsaharan Africa and Johannesburg and Cairo in the whole of Africa in terms of skyscrapers. Skyscrapers such as KICC, Times Tower, CBK Pension Tower, NSSF Building, UoN Tower, Teleposta, Nyayo House etc are government owned. Skyscrapers such as GTC, UAP, Britam, Prism, One Africa, LeMac etc are privately owned (Of those only GTC is owned by the Chinese btw). Hapo Bongo serikali isipojenga skyscraper hakuna mwenye atajenga. Considering your government built all the skyscrapers it needs between 2010 and 2020, it will be a very loooong time before Dar gets another skyscraper.
Kwao serikali asipojenga skyscraper then hakuna mtu mwingine mwenye atajenga😂😂
 
Nyie hamna akili. Sisi tunachukiwa kwa usocialism wetu na ndio maana hizo rating agencies hazitufevi.

So, Malawi, Burundi, Rwanda, Somalia, Central African Republic, South Sudan, Togo, Senegal, Zimbabwe, Bukina Faso, Eritrea, Chad, Niger, Mali, Liberia, Sierra Lion, Guinea Bissau, Guinea, Gambia, Djibouti nchi zote hizi zimetuzidi??

Let have a look.

The so called giant of Africa, Nigeria. This is Lagos.
nigeria2.png


nigeria.jpg


nigeria 3.jpg

Bukina Faso moja hii, Ouagadougou.

Chad moja hii, N Djamena

Senegal, Dakar


Pamoja na mapungufu mengi, East Africa tuko mbali sana.
 

Attachments

  • nigeria2.png
    nigeria2.png
    137.9 KB · Views: 20
Nyie hamna akili. Sisi tunachukiwa kwa usocialism wetu na ndio maana hizo rating agencies hazitufevi.

So, Malawi, Burundi, Rwanda, Somalia, Central African Republic, South Sudan, Togo, Senegal, Zimbabwe, Bukina Faso, Eritrea, Chad, Niger, Mali, Liberia, Sierra Lion, Guinea Bissau, Guinea, Gambia, Djibouti nchi zote hizi zimetuzidi??

Let have a look.

The so called giant of Africa, Nigeria. This is Lagos.


Bukina Faso moja hii, Ouagadougou.


Chad moja hii, N Djamena


Senegal, Dakar



Pamoja na mapungufu mengi, East Africa tuko mbali sana.
Hii tabia ya kuchukua the worst parts of cities from other countries mkipost ili mjiliwaze mnazipenda sana. Such theatrics will get you living in ignorance of bliss mkidhani mko sawa kumbe mnaachwa. Hizo sehemu mbaya mnazoonyesha hata bongo zipo.
 
Govt own all the tall buildings in Tanzania. Foreigners can't put up such tall structures in Tanzania cause they will remain vacant forever.

Have you ever asked yourself despite our large population 7mn people in Dar alone there are no slums in Dar ? Where does this population live ?

We call it diversity. Investors know this well, various markets are unique with unique and specific dynamics that are influenced by various aspects including culture, economic models, Gov policies etc.
Kwa mfano, hapo kenya ardhi yote inamilikiwa na wakikuyu na wakalenjini, wanasiasa . Ambapo sehemu kubwa inamilikiwa na familia ya uhuru kenyatta,
Meaning the land is unavailable to majority.
You have no option rather than renting houses, in this sense, affordable housing (dormitories kwa wingi) would likely make some sense to an investor)
 
Hii tabia ya kuchukua the worst parts of cities from other countries mkipost ili mjiliwaze mnazipenda sana. Such theatrics will get you living in ignorance of bliss mkidhani mko sawa kumbe mnaachwa. Hizo sehemu mbaya mnazoonyesha hata bongo zipo.
Take the best from those places and post them here.

"Hizo sehemu mbaya mnazoonyesha hata bongo zipo." chini ya post yangu nemeandika: "Pamoja na mapungufu mengi, East Africa tuko mbali sana".

Facts are, hujawahi fika West Africa. Take your time na visit hizo nchi, iwe Ghana, Nigeria ama yeyote ile. Utakuja hapa na kujivuania. Nimefika baadhi ya hizo pande, nazuijua. East Africa tuko mbali mno.
 
Yes, your private sector is dead. In Kenya, both the private sector and the government builds that's why Nairobi is second only to Johannesburg in Subsaharan Africa and Johannesburg and Cairo in the whole of Africa in terms of skyscrapers. Skyscrapers such as KICC, Times Tower, CBK Pension Tower, NSSF Building, UoN Tower, Teleposta, Nyayo House etc are government owned. Skyscrapers such as GTC, UAP, Britam, Prism, One Africa, LeMac etc are privately owned (Of those only GTC is owned by the Chinese btw). Hapo Bongo serikali isipojenga skyscraper hakuna mwenye atajenga. Considering your government built all the skyscrapers it needs between 2010 and 2020, it will be a very loooong time before Dar gets another skyscraper.

Funny thing you try hard to separate serikali na wananchi,
You forget that the money spent is 100% pesa ya wananchi wa Tanzania,
It’s our money 100% indeed. NSSF haichukui pesa imf kujenga. Ni michango ya sisi wanachama wa nssf ndio inajenga vitu vya namna hii.
IMG_9657.jpg

IMG_1579.jpg
 
Nyie hamna akili. Sisi tunachukiwa kwa usocialism wetu na ndio maana hizo rating agencies hazitufevi.

So, Malawi, Burundi, Rwanda, Somalia, Central African Republic, South Sudan, Togo, Senegal, Zimbabwe, Bukina Faso, Eritrea, Chad, Niger, Mali, Liberia, Sierra Lion, Guinea Bissau, Guinea, Gambia, Djibouti nchi zote hizi zimetuzidi??

Let have a look.

The so called giant of Africa, Nigeria. This is Lagos.


Bukina Faso moja hii, Ouagadougou.


Chad moja hii, N Djamena


Senegal, Dakar



Pamoja na mapungufu mengi, East Africa tuko mbali sana.
Ati kuchukiwa? Tanzania Iko na Nini kuchukiwa??😂😂

13478810_25951362594806aebacf1a65f84acb85e78f303621ae22_jpeg_jpeg2fe42f4e00bdf1e3dc93d8aa1a6c...jpeg
 
Have you ever asked yourself despite our large population 7mn people in Dar alone there are no slums in Dar ? Where does this population live ?

We call it diversity. Investors know this well, various markets are unique with unique and specific dynamics that are influenced by various aspects including culture, economic models, Gov policies etc.
Kwa mfano, hapo kenya ardhi yote inamilikiwa na wakikuyu na wakalenjini, wanasiasa . Ambapo sehemu kubwa inamilikiwa na familia ya uhuru kenyatta,
Meaning the land is unavailable to majority.
You have no option rather than renting houses, in this sense, affordable housing (dormitories kwa wingi) would likely make some sense to an investor)
Who cheated you that you don't have slums in Dar?

Screenshot_20220925-204624_1.jpg
 
Nyie hamna akili. Sisi tunachukiwa kwa usocialism wetu na ndio maana hizo rating agencies hazitufevi.

So, Malawi, Burundi, Rwanda, Somalia, Central African Republic, South Sudan, Togo, Senegal, Zimbabwe, Bukina Faso, Eritrea, Chad, Niger, Mali, Liberia, Sierra Lion, Guinea Bissau, Guinea, Gambia, Djibouti nchi zote hizi zimetuzidi??

Let have a look.

The so called giant of Africa, Nigeria. This is Lagos.


Bukina Faso moja hii, Ouagadougou.


Chad moja hii, N Djamena


Senegal, Dakar



Pamoja na mapungufu mengi, East Africa tuko mbali sana.
Hawa bado sana [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mbona happ hujasema nyie ndio Vinara wa ujinga?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787]
I wanted to show all of you that there's no much difference between Kenya and Tanzania when it comes to slums.
 
Back
Top Bottom