Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Take the best from those places and post them here.

"Hizo sehemu mbaya mnazoonyesha hata bongo zipo." chini ya post yangu nemeandika: "Pamoja na mapungufu mengi, East Africa tuko mbali sana".

Facts are, hujawahi fika West Africa. Take your time na visit hizo nchi, iwe Ghana, Nigeria ama yeyote ile. Utakuja hapa na kujivuania. Nimefika baadhi ya hizo pande, nazuijua. East Africa tuko mbali mno.
Nadhani wewe ndio hujawai fika uko. Tazama Abuja, Banana Island, Ikeja, Enugu, Calabar n.k. Nigeria Ina miji mingi kuliko East Africa na pia kuna vitu zipo huko Sisi hatuna kama commuter light train. Sisemi West Africa ni Bora kuliko East Africa bali nasema haya mazoea ya kupost the worst places of other countries mko nayo Sana bila kuelewa hizo nchi nazo ziko na sehemu zao bora za kujivunia. Mazoea haya yanamfanya kujiskia mko bora kuliko nchi zingine. Nimetazama Instagram page ya Jamii Forums kwa mfano nikaona mnashare negative news kuhusu Kenya huko sana wakati positive news hamweki. Mko na shida hapo.
 
Ndio hizo rating agencies wanaaminisha ulimwengu kuwa sisi ni maskini na hizo nchi ni tajiri kama wapumbavu Wakenya wanao pambwa na uchumi wa makaratasi wakati hata chakula hawana.
Mimi nimeenda kwenye largest (commercial) cities ndio zinatoa mwanga mzima. Abuja apart from barabara za hapa na pale kama Nairobi, hamna kitu.

Usiongelee kuhusu Enugu, maana huko ni zero! wewe nawe ni mjinga. Usiongelee mija wanayojenga. Walijenga BRT pia ni ushuzi.
 
Funny thing you try hard to separate serikali na wananchi,
You forget that the money spent is 100% pesa ya wananchi wa Tanzania,
It’s our money 100% indeed. NSSF haichukui pesa imf kujenga. Ni michango ya sisi wanachama wa nssf ndio inajenga vitu vya namna hii. View attachment 2367983
View attachment 2367984

Soma nilichoandika na ujibu kulingana na nilichoandika. Ulichoandika hakihusiani na nilichoandika hata kidogo. You're simply explaining the obvious that has nothing to do with what I said.
 
Mimi nimeenda kwenye largest (commercial) cities ndio zinatoa mwanga mzima. Abuja apart from barabara za hapa na pale kama Nairobi, hamna kitu.

Usiongelee kuhusu Enugu, maana huko ni zero! wewe nawe ni mjinga. Usiongelee mija wanayojenga. Walijenga BRT pia ni ushuzi.
Kama ungekua umefika Nigeria hungeongea Huu utopolo maanake kwa barabara, Dar haiwezi hata nusia Abuja, Wacha kuifikia.

Na ukisema Nairobi barabara zake ni za hapa na pale Sasa Dar utasema nini?🤣
 
Nadhani wewe ndio hujawai fika uko. Tazama Abuja, Banana Island, Ikeja, Enugu, Calabar n.k. Nigeria Ina miji mingi kuliko East Africa na pia kuna vitu zipo huko Sisi hatuna kama commuter light train. Sisemi West Africa ni Bora kuliko East Africa bali nasema haya mazoea ya kupost the worst places of other countries mko nayo Sana bila kuelewa hizo nchi nazo ziko na sehemu zao bora za kujivunia. Mazoea haya yanamfanya kujiskia mko bora kuliko nchi zingine. Nimetazama Instagram page ya Jamii Forums kwa mfano nikaona mnashare negative news kuhusu Kenya huko sana wakati positive news hamweki. Mko na shida hapo.
halafu nimegundua ninaongea na hayawani. Ikeja ni sehemu ndani ya Lagos, kufika huko transport ni hzo za njano unapanda. West African countries hamna kitu!

Nimetembe kadhaa!
 
halafu nimegundua ninaongea na hayawani. Ikeja ni sehemu ndani ya Lagos, kufika huko transport ni hzo za njano unapanda. West African countries hamna kitu!

Nimetembe kadhaa!
Nani kasema ni sehemu ya Dar? Unajua watu wasio na knowledge hupenda kusema vitu obvious unnecessarily ndio waonekane Wana maarifa. Nikisema Ikeja ama banana Island natumai kila mtu anayenijadili mambo ya miji hapa ajue ni Lagos, kama kujua kitu obvious kama hicho ni Jambo la maana Sana kwako then Huu sio mjadala wako.
 
Nani kasema ni sehemu ya Dar? Unajua watu wasio na knowledge hupenda kusema vitu obvious unnecessarily ndio waonekane Wana maarifa. Nikisema Ikeja ama banana Island natumai kila mtu anayenijadili mambo ya miji hapa ajue ni Lagos, kama kujua kitu obvious kama hicho ni Jambo la maana Sana kwako then Huu sio mjadala wako.
Mi nimepost transport zao hapa za miji mikuu na wewe umesema nimetafuta sehemu mbaya mbaya. Nimekuambia kitambo, tafuta best za transport Nigeria nzima ukiachia miradi ya mchongo ya vijit tram vya kubeba watu 15 in less than 50 km. Lete hapa best transport zao, acha maneno mengi.
 
Tatizo uko kishabiki zaidi. Nigeria ni zero. Ulivyotaja Enugu nikajua kabisa hujui chochote.
Ukitoa Dar, hamna mji Tanzania unaoweza kuifikia ama kushindana na Enugu for your information. Tembea ujionee. Ukiacha kushare picha za area mbovu nchi zengine utajiona mjinga jinsi ulivyo.
 
Mi nimepost transport zao hapa za miji mikuu na wewe umesema nimetafuta sehemu mbaya mbaya. Nimekuambia kitambo, tafuta best za transport Nigeria nzima ukiachia miradi ya mchongo ya vijit tram vya kubeba watu 15 in less than 50 km. Lete hapa best transport zao, acha maneno mengi.
Sina muda was kupost mambo ya Nigeria humu kuprovia mtu mjinga kama wewe kitu. Kama yanakufurahisha, endelea kupost picha za ovyo za nchi zengine kujiliwaza.🚮🚮
 
Sina muda was kupost mambo ya Nigeria humu kuprovia mtu mjinga kama wewe kitu. Kama yanakufurahisha, endelea kupost picha za ovyo za nchi zengine kujiliwaza.🚮🚮
Sio una muda. Wewe ulida kuwa, mimi nimechagua sehemu mbaya mbaya kwenye hiyo miji. ndio nikakwambia, post wewe their best transport kwenye hizo nchi zote nilo orodhesha, simple. It's not you cant, there is none. Pia waweza post transport za Kenya pia.

sasa sisi tuliopost asitu accuse of being bias.
 
Sio una muda. Wewe ulida kuwa, mimi nimechagua sehemu mbaya mbaya kwenye hiyo miji. ndio nikakwambia, post wewe their best transport kwenye hizo nchi zote nilo orodhesha, simple. It's not you cant, there is none. Pia waweza post transport za Kenya pia.

sasa sisi tuliopost asitu accuse of being bias.

Hana muda halafu bado anaquote quotes zako! [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sina muda was kupost mambo ya Nigeria humu kuprovia mtu mjinga kama wewe kitu. Kama yanakufurahisha, endelea kupost picha za ovyo za nchi zengine kujiliwaza.🚮🚮
Sio una muda. Wewe ulida kuwa, mimi nimechagua sehemu mbaya mbaya kwenye hiyo miji. ndio nikakwambia, post wewe their best transport kwenye hizo nchi zote nilo orodhesha, simple. It's not you cant, there is none. Pia waweza post transport za Kenya pia.

sasa sisi tuliopost asitu accuse of being bias.
 
Ukitoa Dar, hamna mji Tanzania unaoweza kuifikia ama kushindana na Enugu for your information. Tembea ujionee. Ukiacha kushare picha za area mbovu nchi zengine utajiona mjinga jinsi ulivyo.
Hamna kitu not just in Enugu but kote Nigeria. Nigeria is this huge dustbin! The largest city in Nigeria is Lagos, ndio mji mkubwa Nigeria na tumepost transport za huo mji. Nini tean??
 
Sio una muda. Wewe ulida kuwa, mimi nimechagua sehemu mbaya mbaya kwenye hiyo miji. ndio nikakwambia, post wewe their best transport kwenye hizo nchi zote nilo orodhesha, simple. It's not you cant, there is none. Pia waweza post transport za Kenya pia.

sasa sisi tuliopost asitu accuse of being bias.
Just accept that you were biased. These are some of the public transport in Nigeria.

Port Harcourt, Nigeria's third city.

This is the only functioning monorail in Africa, Egypt will join soon.

images (5).jpeg
images (15).jpeg
images (9).jpeg
images (8).jpeg
 
Hehehehe kweli wewe ni mtumishi wa umma, yn umeshindwa kuelewa nilichosema [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nmekwambia USA ina GDP kubwa kuliko China, sasa niambie cement consumption kati ya US na China ipi kubwa kuliko mwenzie, kuhusu Tz na Kenya naomba wewe sasa ndiyo uthibitishe cement consumption yao ni kubwa kuliko yetu na uniambie wanajenga nini!! Mana usione sifa unapoambiwa hauko biased kumbe unasifiwa upumbavu na ujinga basi na wewe ndiyo unazidi kuwa mjinga kwa kukataa hata mazuri ya nchi yako.
Consumption ya cement China ni 2× ya nchi zote kubwa Duniani
 
Sio una muda. Wewe ulida kuwa, mimi nimechagua sehemu mbaya mbaya kwenye hiyo miji. ndio nikakwambia, post wewe their best transport kwenye hizo nchi zote nilo orodhesha, simple. It's not you cant, there is none. Pia waweza post transport za Kenya pia.

sasa sisi tuliopost asitu accuse of being bias.

Abuja. It has both light rail and mass rail.

Light rail.
images (19).jpeg
images (24).jpeg
images (25).jpeg


Mass rail
images (18).jpeg
images (16).jpeg
 
Just accept that you were biased. These are some of the public transport in Nigeria.

Port Harcourt, Nigeria's third city.

This is the only functioning monorail in Africa, Egypt will join soon.

View attachment 2368068View attachment 2368069View attachment 2368071View attachment 2368072
Kila mara nakwambia wewe ni mjinga.

Mi nimepost transport zao hapa za miji mikuu na wewe umesema nimetafuta sehemu mbaya mbaya. Nimekuambia kitambo, tafuta best za transport Nigeria nzima ukiachia miradi ya mchongo ya vijit tram vya kubeba watu 15 in less than 50 km. Lete hapa best transport zao, acha maneno mengi.

Hakuna nchi ya wenye akili wakajenga hivyo vitram vya kubeba watu 15 na kwa urefu usuiozidi 50km kwenye nchi ya watu zaidi ya 240 Million.

Wewe ni mpumbavu!
 
Back
Top Bottom