Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
I know your stomach is boiling but itabidi tu uzoee😂😂Paper tiger
I know your stomach is boiling but itabidi tu uzoee😂😂Paper tiger
Hehehe hiv hizi takwimu unazitoaga wapi.? 🤣🤣🤣🤣
Today is facts day.Hehehe hiv hizi takwimu unazitoaga wapi.? 🤣🤣🤣🤣
Ndio maana nilikuuliza kenya hawajengi nchi yao?na mbona takwimu zao zionyeshe wanatumia cement kutuzidi? Wewe ndio utumie akili hapoKuwa na GDP kubwa na cement consumption vinahusiana vipi mzee .? [emoji1787] Heb tumia hata akili kidogo, tuko na miradi mikubwa kuliko mataifa yote yaungane pamoja, na miradi yetu yote inajengwa simultaneously , mbona ni vitu vinavyookana kwa macho ya kawaida tu.. Tandale tu Iko barabara za zege kibao karibu kila kona, mji wote wa DODOMA ni mpya 70% ya nyumba zote za DODOMA na facilities zengine za serekali zimejengwa kati ya 2017-2022 .. hao jamaa zetu so kila kitu Chao wanapost humu .?
Hadi itakapotangazwa uko badae[emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2367366
3x ni uongo sema 2× Acha kupindapindaYet Nairobi Nairobi is three times richer than Dar[emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 2367372
🤣🤣🤣🤣 Na sio lazima iwe ni miaka ya hiv karibuniHadi itakapotangazwa uko badae[emoji3]
Kwanza ni 4×.3x ni uongo sema 2× Acha kupindapinda
Uzuri hii ni battle ya picha na video hawa jamaa huwa wanapost kila kitu Chao humu ndani, na kwa tunachofanya sisi kwasasa vs wanavyopost humu, it's very clear that sisi tunatumia cement zaidi kuwaliko.. data hata mimi naweza andika, haiwezi kuwa uhalisia, in Afrika seeing is believingNdio maana nilikuuliza kenya hawajengi nchi yao?na mbona takwimu zao zionyeshe wanatumia cement kutuzidi? Wewe ndio utumie akili hapo
Pingana na serikali yenuUzuri hii ni battle ya picha na video hawa jamaa huwa wanapost kila kitu Chao humu ndani, na kwa tunachofanya sisi kwasasa vs wanavyopost humu, it's very clear that sisi tunatumia cement zaidi kuwaliko.. data hata mimi naweza andika, haiwezi kuwa uhalisia, in Afrika seeing is believing
Kwani hizi Takwimu zinasema mmetuzidi kwenye cement consumption .? 🤣🤣
Me mwenyewe nashangaa watu wanavyobishana na kunyaland kwa kutumia statistics zao, ni uongo mtupu hakuna statistics kutoka kwao zinasema ukweli zote ni fake.Ili ushindane na Tanzania inakubidi upike takwimu haswa haswa. [emoji23][emoji23][emoji23]
The statistics says that what Tanzania consumes in full year Kenya only consumes in six months😂😂😂👇Kwani hizi Takwimu zinasema mmetuzidi kwenye cement consumption .? 🤣🤣