Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,691
- 107,133
Andika kiswahili tuu mkuu. Hapo hatujaelewa.Samia looked uncomfortable when they started saying you can criticizing government however you want hehe
Miaka kibao tangu izinduliwe barabara bado ina udongo what the f...kCha ajabu nini hapa, barabara imepauka nmeona kwenye TV, hapa kwenyewe kumepauka licha ya make up, mpk leo mmeshindwa kupanda japo maua au miti View attachment 2355570
Hii ndio worst of Iringa, nikuletee worst of Kisumu?Iringa inakaa Dadaab ndio unataka kulinganisha na kCityView attachment 2356148View attachment 2356149View attachment 2356150View attachment 2356151
Hio Sio worse of Iringa. Hizo ndio suburbs za Iringa inje ya Town. Unataka kulinganisha hio Upuzi na hii Kisumu[emoji1541]. The fact is that Kisumu inameza Iringa na Mwanza mara tanoHii ndio worst of Iringa, nikuletee worst of Kisumu?
This a very shitty road most outering roads and bypasses in kenya are way better than this🤣🤣🤣, Six lanes road.? We umzionaje hizo six lanes hata mimi nisizione.? 👇View attachment 2355864
😀😀 nimecheka sana.. huyu ndo makamu rais wa kenya
Hawa watu si eti ni waoga mara mingi hawanaga jibu, utaona wakitafuta kuponda what we post coz they have nothing to respond with, wako down bana..,Nitapost kumi kutoka Lodwar. Wewe ni muoga sana.
ULISHA ONA MWANAMUZIKI YOYOTE WA KENYA ANAITWA TANZANIA KWENYE SHEREHE ZA UAPISHO..... ADI AKILI ZENU TUMESHIKA NYIE AMNA LOLOTE....,,,,
Kuna vitu zinajengwa hapo nyinyi madwanzi nini? It is being improved and under constructionMiaka kibao tangu izinduliwe barabara bado ina udongo what the f...k
Hizi ni propaganda za Tanzania tu!Mara nataka kuwa kama Magufuli mara nataka kuwa kama ccm, kesho atataka kuwa kama joti
View attachment 2356173
Kisumu yenyewe ni kama mtaa mmoja Iringa, haina ukubwa wowote na finyu na bado ni duniHio Sio worse of Iringa. Hizo ndio suburbs za Iringa inje ya Town. Unataka kulinganisha hio Upuzi na hii Kisumu[emoji1541]. The fact is that Kisumu inameza Iringa na Mwanza mara tanoView attachment 2356184
Most Tanzanians?One thing I noticed is actually Twitter ya Tanzania always has nothing the only fun thing there is maybe football the rest is a dead space so most tanzanians are always in Kenyan Twitter
Huyu Mama anapenda kutumia hizi ndege na kuvuruga ratiba za ATCL wakati ndege ya rais ipo, kwnn huyu mama hana uchungu na kodi za wananchi? Pale airport unakuta kuna ma delay ya kipumbavu pumbavu kisa tu ndege imechelewa kuwasili lkn pia equipments ni chache alafu hapo hapo mtu anachukua ndege anaenda nayo Kenya, ngoja niangalie kwenye flight radar nione leo TC 200 imeenda equipment gn alafu nirudi.
The worst of Iringa haina mabati rolling sharks na mud houses!Hio Sio worse of Iringa. Hizo ndio suburbs za Iringa inje ya Town. Unataka kulinganisha hio Upuzi na hii Kisumu[emoji1541]. The fact is that Kisumu inameza Iringa na Mwanza mara tanoView attachment 2356184
Kwa kipi tunachokitafuta Kenya wakati ninyi ni mateka wetu tayari?Hizi ni propaganda za Tanzania tu!
Usitetee mambo ya kipuuzi! Atumie ndege yake ya Urais! Sasa kama JPM alifanya madudu naye afanye?Wakati Magufuli anatumia ndege hizi kwa style hiyo hiyo tuliambiwa ni yeye ndio kazinunua kwanini asitumie, leo Mama anapigwa mawe…..!!