The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Wakenya washamba sn, bado wanaishi maisha ya kizamani mno.
Wakenya washamba sn, bado wanaishi maisha ya kizamani mno.
Mara nyingi Magufuli hakuwa akitumia ndege tusisahau hilo mkuu.Wakati Magufuli anatumia ndege hizi kwa style hiyo hiyo tuliambiwa ni yeye ndio kazinunua kwanini asitumie, leo Mama anapigwa mawe…..!!
Usitetee mambo ya kipuuzi! Atumie ndege yake ya Urais! Sasa kama JPM alifanya madudu naye afanye?

Naona umesahau make up, kitu kimetoka kama kilivyo










Jana ndege ya Mwanza Tc 102 imeondoka saa tano kasoro, huwa inaondoka saa moja. Niliifatilia kwenye radar nikagundua ilichelewa sn, na hii ni kutokana na kuchukuliwa Airbus kwenda huko kwenye sherehe.Kubadili matumizi ya ndege hizi si ufahari bali ni gharama za uendeshaji tu hizi ndege mpya ni nafuu zaidi ukifananisha na za zamani kupanga ni kuchagua kikubwa zisiathiri kbs operation za ATCL
Don't injure yourself when you are in action with that your new catch.Naona umesahau make up, kitu kimetoka kama kilivyo![]()
Hamna wa kulalamika bungeni! Thanks to JPM!Jana ndege ya Mwanza Tc 102 imeondoka saa tano kasoro, huwa inaondoka saa moja. Niliifatilia kwenye radar nikagundua ilichelewa sn, na hii ni kutokana na kuchukuliwa Airbus kwenda huko kwenye sherehe.
UWA MNAJIKUTA SWAHILI NDIO LUGHA HAHAHAHAAAAA
🤣🤣🤣 Umerogwa wewe so bureThis a very shitty road most outering roads and bypasses in kenya are way better than this
Tunapigiwa kelele humu kila siku 🤣🤣🤣 Watu wameng'ang'ana kutetea kijiji kiwe mji 🤣🤣Kisumu haijai hata kwa Iringa
Hii barabara ikona service lane za vumbi 😂😂😂😂🤣🤣🤣, Six lanes road.? We umzionaje hizo six lanes hata mimi nisizione.? 👇View attachment 2355864
Mashindano gn kwn, sijui chochote kuhusu hilo.Naomi Wafula jets back afrer winning TZ Ladies Open
![]()
Naomi Wafula jets back afrer winning TZ Ladies Open
She beat Tanzania’s top lady golfer Madina Iddy by two shots.bit.ly
Mambo ya sports wachia wakenya tu View attachment 2356767