Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe ni mwanaume lakini unaogopa kama kuku jike 😂😂, why can't you just post any road from Singida enye unajiamini nayo?
Kuna muda uwe na akili timamu we jamaa, nitawezaje kujiingiza kwenye discussion enye haipo, nikipost barabara tano kutoka Singida we utapost nini then.?
 
Hopefully haukusoma hii 👆 Post, usitaje upuuzi unaoitwa lordwar mbele ya Singida likija suala la barabara
Nimeshakuambia sioni cha maana hapo. Hakuna mji Kenya ambao hiyo Singida imeshinda kwa barabara.

Tazama Kakamega kwa mfano - kamji kadogo magharibi mwa Kenya, ebu fananisha na huo upuzi wa Singida alafu uiambie.




 
Lodwar, a town in the poorest county in Kenya, has better roads than these.
Mzee siongelei highways across the town, naongelea standard streets zenye solar-powered lights, pedestrian sidewalks, well marked signs, clean streets etc,

ukiondoa hicho kipande kidogo cha trunk road kilichopita lodwar kuna barabara zipi za maana zinazokatiza kwenye different streets za lodwar?
 
Nitapost kumi kutoka Lodwar. Wewe ni muoga sana.
Any way.. roads in Singida 👇
EborVy7WkAAwla8.jpg
4bd3fc06-f654-4e6d-bb44-ffd03fde6d57(0).jpg
IMG_0014.JPG
Ebijng3WsAEnr2w.jpg
 
Unazungumzia ile high way inayokatiza pale kijijini .? 🤣🤣🤣
Tena tukija kwenye barabara za halmashauri ndio utaona hawa wapumbavu watakavyoumbuka, counties zao 70% ukiondoa barabara za highways hakuna streets zilizo paved, kama nasema uongo wabishe 😂😂😂

Tofauti na Tanzania unakuta halmashauri haijaungwa na wilaya nyingine kwa lami lakini ndani ya halmashauri wana mtandao mzuri tu wa barabara za lami
 
Mzee siongelei highways across the town, naongelea standard streets zenye solar-powered lights, pedestrian sidewalks, well marked signs, clean streets etc,

ukiondoa hicho kipande kidogo cha trunk road kilichopita lodwar kuna barabara zipi za maana zinazokatiza kwenye different streets za lodwar?
Hawa jamaa ni Wana matatizo sana 🤣🤣🤣, ngoja tuone atajibu nini
 
Longest Dual Carriageway in Mombasa - 25.55km
View attachment 2355834


Longest Dual Carriageway in Mwanza 8.7km

View attachment 2355838

Wacheni kufananisha Mombasa na vitu vya kipuuzi. Yaani hamna mji unaokosewa heshima humu kama Mombasa. Mwanza hata Nakuru haufikii.

Longest dual carriageway in Nakuru - 15.81km
View attachment 2355842

Kisumu pia unawapa kichapo. l ongest dual carriageway in Kisumu - 15.09km
View attachment 2355847

Mambo ya dual carriageway hamyawezi. Wachaneni tu nayo.
Hakuna barabara hapo, weka video
 
Chizi ni wewe sababu unapingana bila evidence.
Wewe ni mwehu Unaetafuta pakutokea na wala hutoki hapa.. kimara kibaha 👇
Estim_KimaraKibahaHighway-76.jpg
ione vizur hapa 👇
maxresdefault.jpg
render yake hii 👇
Lane.jpg
two dedicated lanes are for BRT, sita zilizobakia ni kwa magari kawaida.. he hizi ni 6 lanes.? 🤣🤣🤣.. tena kimara kibaha ni bora kuliko thika kwasababu kimara kibaha Iko na BRT lanes . Kitu mnachooendelea kuota kila siku
 
Ila hii ni barabara ovyo ya mtaani, sio ile tunayojigamba nayo. Natumai ishatengenezwa uoya maanake picha ni ya zamani kidogo. Yani nyinyi mmepost ile yenu best na inakaa hivyo.
Best nilizipost haujaziona nini.? 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom