Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kiswahili kinazidi kuchanja mbuga 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220911-210520.png
    Screenshot_20220911-210520.png
    57.5 KB · Views: 9
Ukishazidiwa na madeni ndio ushakuwa buncrapty hivyo ndio maana Rais wenu analia Lia.
Ulianza na kusema Ruto alisema Kenya ni bankrupt, nikakukaumbia unionyeshe pahali alisema hivyo. Umeshindwa sasa umeanza assumptions. Wewe tulia ungoje tutangaze bankruptcy kama hio ndio unataka kuskia. 😂😂😂
 
Mtu anayefaa kuwa Rais ni Dr Philiph Mpango hii nchi inahitaji mtu anayeweza ku-fix economy na kuwezesha kukua 8% na si kujenga viwanja!
We don't need an economist. Tunaitaji Mzalendo anaechukia na kushughulikia wabadhilifu.

Mapango na wachumi wawe washauri na wengine wakae wizara ya fedha.
 
Back
Top Bottom