The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Hivi ndivyo ninavyoishi na nyie wakunya, kazi yenu kupost vitu vya watu tu vyenu hamna maamaeee, mkipost unakuta mtu ana bonge la tai kama pastor 




































































Safi sana.Chimbo jipya Lindi
She is very stupid!. Sikuwahi kutazama ujinga wake, lipo huko linashikwa shikwa na babu la kizungu![]()

Alikuwa mwanamichezo. Apo wa kwanza kushoto ni yeye, chini hapo waliopiga magoti wapili kushoto utamuona marehemu Kashasha.Huyu jamaa akiwa Rais atafanya mengi kwenye michezo.
Majaliwa Stadium, what a pitch, wamejitahidi
Kumbe.. very nice asee👍 👏 😀Alikuwa mwanamichezo. Apo wa kwanza kushoto ni yeye, chini hapo waliopiga magoti wapili kushoto utamuona marehemu Kashasha.View attachment 2353715
🤣🤣🤣😂Wachana na huyo watchman hata hajui meaning ya year ending. Alishindwa kuinua kalamu akiwa shule wacha apambane na kubeba rungu kwa airport. 🤣🤣🤣🤣
Is this a stadium or primary school football field?Majaliwa Stadium..
naona kajukwaa kanajengwa pemben. Mdogo mdogo tu watafika
View attachment 2353753View attachment 2353754View attachment 2353755
Huyu jamaa akiwa Rais atafanya mengi kwenye michezo.
Majaliwa Stadium, what a pitch, wamejitahidi
Naona uko kwa mama ntilie ju huwezi afford fine dinning na mshahara ya watchman. 🤣🤣🤣
Jamaa kanalipwa cash na anabeba zote anaenda nazo kwa nyumba 😂😂Naona uko kwa mama ntilie ju huwezi afford fine dinning na mshahara ya watchman. 🤣🤣🤣