Mbunge (na wazir wa zaman) hajui kuwa sgr inaenda bandarin



hili ni jipu kwa kweliNi culture ya Ruto basi.
Wewe unayo hiyo decorum?You guys don't have decorum
Iyo kiambu sikujua kama ni kubwa hivyo...well stractured, panakimbiza mbweni by far...ila sasa sio fair kufananisha kiambu na mbweni kwasababu mbweni sio town kama hii...iyo kiambu ..kwann mbweni usiipe mtaa uko Nairobi mana kiambu wala sio NairobiWhat's Mbweni? It cannot even reach 1% of this
Chukua this new estate coming up along This Road.Iyo kiambu sikujua kama ni kubwa hivyo...well stractured, panakimbiza mbweni by far...ila sasa sio fair kufananisha kiambu na mbweni kwasababu mbweni sio town kama hii...iyo kiambu ..kwann mbweni usiipe mtaa uko Nairobi mana kiambu wala sio Nairobi
Kiambu town Iko within Nairobi Metropolitan. Can you show me any development in Tanzania than can come close to this EDEN VILLAGE ESTATEIyo kiambu sikujua kama ni kubwa hivyo...well stractured, panakimbiza mbweni by far...ila sasa sio fair kufananisha kiambu na mbweni kwasababu mbweni sio town kama hii...iyo kiambu ..kwann mbweni usiipe mtaa uko Nairobi mana kiambu wala sio Nairobi
Wish walijenga footbridge connection both uhuru park with Central ParkWe will surely miss President Uhuru Kenyatta.
View attachment 2354741
View attachment 2354742
View attachment 2354743
View attachment 2354745
Hakika inashangaza sana.Mbunge (na wazir wa zaman) hajui kuwa sgr inaenda bandarin
Amechoka kuwa back bencher sasa hii ni ntoke vipi nipate huruma ya mama!Hakika inashangaza sana.
Haswa Kwa mtu kama huyo ambae alishaingia cabinet meetings na bado anapost habari kama hiyo.
Hii inaonesha ni jinsi gani hawa Watu they are not attentive to details ndio maana kila mtu ni mlalamikaji nchi hii.