Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya mtauwa watani kwa facts, mnapenda ukweli sana😂😂😂😂 punguzeni ku post ukweli Teargas nairobae mwathadan dopchinski , leo ni wikendi na queen amekufa dunia ina omboleza kueni na huruma jameni, kwanza Teargas unapiga bila huruma😂😂😂😂😂😂, jibu mwafaka hamtapata kutoka south hivi karibuni, ni vijimaneno na propaganda tu, wachana nao wapumue 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂

nimeenda zangu mimi, must enjoy my weekend!
Tanzanians are like goats, making a lot of noise with zero impact.
 
Then show us the Aerial view of recently completed projects kama huezipost nyumba moja moja. What I mean by recently completed ni less than a year since it was completed. Usituonyeshe nyumba za 2017 just because they look new.
Sitaki maneno maneno, nimekupiga na mji mzima mbweni hujanijibu chochote .. leta majibu kwanza .. 🤣🤣, wacha kutafuta excuse we kichaa.. otherwise ulete hizo nyumba 16k zenye mlijenga last year
 
Sitaki maneno maneno, nimekupiga na mji mzima mbweni hujanijibu chochote .. leta majibu kwanza .. 🤣🤣, wacha kutafuta excuse we kichaa.. otherwise ulete hizo nyumba 16k zenye mlijenga last year
Hakuna kitu umepost hata moja, hile video ni za nyumba zilijengwa kitambo sana. Ama do you want me to define the term " recently completed" to you?
 
Hakuna kitu umepost hata moja, hile video ni za nyumba zilijengwa kitambo sana. Ama do you want me to define the term " recently completed" to you?
🤣🤣🤣🤣🤣 Nyumba zilijengwa kitambo sana with modern styles .? 🤣🤣🤣, Wacha excuses bamzee, huna majibu kaa kimya
 
🤣🤣🤣🤣🤣 Nyumba zilijengwa kitambo sana with modern styles .? 🤣🤣🤣, Wacha excuses bamzee, huna majibu kaa kimya
The styles unaona hapo zilianza kutumika 2007. So sijui they are modern in what way?
 
Dar wanayoijua hawa wakunya ni Magomeni, Tandale, Buguruni, mbagala, kipawa, vingunguti 🤣🤣🤣, yo huku kote ni Uswahilini na ni makazi ya watu maskini tu,
 
Dar wanayoijua hawa wakunya ni Magomeni, Tandale, Buguruni, mbagala, kipawa, vingunguti 🤣🤣🤣, yo huku kote ni Uswahilini na ni makazi ya maskini tu,
 
Yani hata Kiambu imeshinda the best of Dar😂🤣🤣


Watu wamehama mpaka county 🤣🤣🤣🤣, huwezani mzee utapasuka msamba .. Battle ni Dar vs NAIROBI au Ni Tz vs Kenya ili nikunyooshe vizur.. weka mambo sawa, na ni battle ya miji mipya au miji ile ile .? 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom