Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha mchezo wa kupost takataka humu alaf eti ulinganishe na DAR 🤣🤣
Truth hurts, a second city kuiaibisha Dar😜🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, poleni watani, Kuna siku na nyinyi mtakua na mji wa pili kiwango cha Dar, ni miaka mingi mbele, jipe matumaini na ka Dodoma., pengine kwa miaka 50 katajaribu pia🤣🤣🤣🤣🤣.,
 
Truth hurts, a second city kuiaibisha Dar😜🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣, poleni watani, Kuna siku na nyinyi mtakua na mji wa pili kiwango cha Dar, ni miaka mingi mbele, jipe matumaini na ka Dodoma., pengine kwa miaka 50 katajaribu pia🤣🤣🤣🤣🤣.,
Unaandika huku roho inakusuta 🤣🤣🤣
 
Screenshot (99).png

hahaaaaa wacha nicheke mie
 
It has exposed vile tunawatafuna bila huruma, Kenyans too are the beneficiaries of the export revenue, so whenever u post Tz annual export revenue jua pia na sisi tumeimega.,
Kwahiyo kuanzia Sasa Ile kauli ya kwamba Tanzania inauza "cheap" goods to Kenya sitaki kuisikia tena

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
tanganyika kufika hizi levels na cnn, one on one, bado itasalia kua ni ndoto ya 2075 na uko!

 
Back
Top Bottom