dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
karibuni lunch wadau
😂😂😂😂ebu weka aerial view tuone inatoshana vipi tulinganishe na makazi mengine in size tuone?.., 😂😂😂😂😂😂😂😂.,
View attachment 2348661
"Bamburi" ya Dar is Slum.., sio slum, maisha ya mtanzania ambaye ako na kazi ama biashara, level ya wanao jiweza eti😂😂😂😂😂😂😂👇👇👇👇
View attachment 2348662
View attachment 2348664
View attachment 2348665
View attachment 2348666
View attachment 2348667
Wakunya mna laana sio safari sababu mmeshafika 😂😂😂NAIROBI ni dustibin city,ifike mahala tuwe wapole tu hakuna kitu special chakushangaza ndani ya nairobi labda uchafu uliokufulu,
Tunasafari ndefu sana wakenyaView attachment 2348677View attachment 2348678View attachment 2348680View attachment 2348684View attachment 2348685View attachment 2348686View attachment 2348687View attachment 2348688View attachment 2348689
Nioneshe buildings za 40 floors Washington DC.Watu wanaongelea 40 floors and above wewe na ukichaa wako unashangilia buildings za 6 floors?![]()
So Dodoma is Washington DC. 🤣🤣🤣🤣 Huna hata aibu wewe mshamba.Nioneshe buildings za 40 floors Washington DC.
Asante kwa kukubali kwamba Kariakoo nayo ni CBD.
Kutoka Kariakoo hadi posta unalipa fare ya shilligi ngapi? Ukitoa Kariakoo then Dar CBD inabaki only 500m2 🤣🤣🤣Asante kwa kukubali kwamba Kariakoo nayo ni CBD.
Hakuna city yenye nyumba nyingi za udongo kama Mombasa hapa EA.Mombasa ina maslums mengi mpaka hayajulikani, yaani slum moja wanaishi wananchi 10,000 na wanatumia choo kimoja halafu hiyo ndio second largest city in kunyalandjust imagine
Mpaka amnesty international wameamua waingilie kati
View attachment 2348590View attachment 2348591
Hivi wewe ujinga wako ni kiasi gani?, Siku zote wewe na wajinga wenzako hapa mlikua mnasema Tanzania tunauza mahindi ambayo ni "cheap export", Leo kwasababu umegundua kwamba Kuna wakenya pia wanafanya hiyo biashara, ghafla umegeuka unasema wanapiga pesa nyingi kwa kuuza mahindi Kenya toka Tanzania.Ata kuelewa hauelewi nyambaff, yaani kumbe ni wakenya wanaenda Tanzania kisha wana export mahindi to Kenya, yaani mpo mpo tu, wao wanatengeneza hela ndefu, mama anajaribu kusaidia mifukara, tunawatafuna na bado tutaendelea kuwatafuna, shukuru mama kilaza, ningekua wewe singepost hii news, ni aibu, ina anika ujinga wenu na unyonge, yaani kumbe total export yenye huwa mnapost wakenya wajanja ndio huwa wanafaidika sana![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()



Dodoma is not Washington DC.Nioneshe buildings za 40 floors Washington DC.
Hadi mayoutuber wanakili hilo...So Dodoma is Washington DC.Huna hata aibu wewe mshamba.
Hapana...tuko.co.ke ndo anabeba akili...Youtuber ndio amekubebea akili.![]()
Hapana...tuko.co.ke ndo anabeba akili...View attachment 2348760
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Eti lowest una kicha wewe 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 , hiyo ndio standard housing ya raiya wa kawaida, kwani Dar nyote ni lowest? kwa vile hiyo ni representation ya 90% ya jiji.., google earth pia ita confirm, wacha kujikosesha ufahamu, kumbe DSTV ni big deal uswazi country!😂😂😂😂 mko hovyo taifa mzima😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Lowest standard of housing in Dar (block house) electricity and dstv
View attachment 2348703View attachment 2348704
Lowest standard of housing in Nairobi (mud huts and shacks)
View attachment 2348705View attachment 2348706View attachment 2348707View attachment 2348708View attachment 2348709View attachment 2348710View attachment 2348711View attachment 2348712View attachment 2348713View attachment 2348714View attachment 2348715
Huna hata akili ndogo ya kuona tofauti?