Hio ghorofa ya GTC ni over 180 meters. Kwa maisha yako yote hujawai ona ghorofa refu kama hio. 🤣🤣🤣🤣 Ushamba inakusumbua.
Sio gorofa ni nini.? 🤣 Many high rise buildings in Upanga ar of 17 floors and above mpaka 30 floors.. unlike in your so called CBDs .. ukibisha pia tunaenda ground ..
Hata mimi naona gorofa tano kando ya barabara 🤣🤣Ghorofa tano kando ya barabara 🤣🤣🤣
Nairobi is just different gravy
Ghorofa tano zinafwata barabara ju surrounding area hakuna barabara za lami. Poor planning.Hata mimi naona gorofa tano kando ya barabara 🤣🤣
Ingia google earth then zoom, Mombasa ina aibisha Dar wazi wazi., that place looks far better kuliko picha kilaza.., and focus sio ferry, hilo eneo linaitwa Likoni Ferry., and is that even MV Likoni ama ume guess tu? Mtanyooka, jibu zero😂😂😂😂😂Umeona ujinga wa make up, angalia mv likoni iliyopigwa make up alafu na Mv Likoni bila make up zen piga hesabu hayo mazingira ya picha bila make up itakuwaje.View attachment 2349133View attachment 2349137
Uhuru height 27 storeys together with Viva tower 21, and umoja wa vijana tower 22 👇🤣 🤣 🤣 name me one building in igUpanga that has 30 floors.
In Kenya, all the 3 major CBDs have over 30 floor buildings.
Maneno nenda ukawape vilaza kama wewe vijiweni.., picha zinajieleza, wewe vumilia kama jibu hauna., uliweka picha nikajibu kwa picha, nazo zinajieleza wazi wazi., So shut up, wacha dunia ijionee tofauti kati ya Mombasa na Dar ilivyo nadra, almost zero😂😂😂😂😂Hauoni Aibu.? 🤣🤣🤣 mana naona unakaza tako kulinganisha mbingu na Ardhi 🤣🤣
Huoni Aibu mzee .? 🤣🤣🤣 Umetahayari mpuuzi weweManeno nenda ukawape vilaza kama wewe vijiweni.., picha zinajieleza, wewe vumilia kama jibu hauna., uliweka picha nikajibu kwa picha, nazo zinajieleza wazi wazi., So shut up, wacha dunia ijionee tofauti kati ya Mombasa na Dar ilivyo nadra, almost zero😂😂😂😂😂
we mbuzi naona unarudia picha auna nyingine maana unaleta uchafu umu
Empty talks, Mombasa baba lao😂😂😂😂😂., kwenu ni aibu na uchungu mno, poleni sio makosa yetu, sisi nikuwaonyesha Mombasa kwa picha bila maneno mengi, zoea kwa vile na bado.Huoni Aibu mzee .? 🤣🤣🤣 Umetahayari mpuuzi wewe
wape showUhuru height 27 storeys together with Viva tower 21, and umoja wa vijana tower 22 👇View attachment 2349328View attachment 2349329umoja wa vijana tower 22 floors👇View attachment 2349332.. bonge kwenye kila district yapo majengo marefu kibao 🤣🤣 the rest of Upanga is like this 👇View attachment 2349334View attachment 2349336na bado hii hatuiti CBD 🤣🤣 ..![]()
wewe naona una ugonjwa wa akili maana unacheka sioni sababu alafu ata alina aibu unaongea kiswahili kichafu pita shule kwanzaEmpty talks, Mombasa baba lao😂😂😂😂😂., kwenu ni aibu na uchungu mno, poleni sio makosa yetu, sisi nikuwaonyesha Mombasa kwa picha bila maneno mengi, zoea kwa vile na bado.