Hivi wewe ujinga wako ni kiasi gani?, Siku zote wewe na wajinga wenzako hapa mlikua mnasema Tanzania tunauza mahindi ambayo ni "cheap export", Leo kwasababu umegundua kwamba Kuna wakenya pia wanafanya hiyo biashara, ghafla umegeuka unasema wanapiga pesa nyingi kwa kuuza mahindi Kenya toka Tanzania.


80% ya wafanyabiashara wa mazao kutoka Tanzania ni watanzania, hiyo 20% iliyobaki ni wakenya, Rwanda, DRC na Burundi. Hizo exports permits zimezuiliwa kwa raia wa nchi zote kusafirisha mahindi toka Tanzania, sio wakenya pekee, lengo ni kuwalinda raia wa Tanzania kwa kuongezeka kwa Bei ya vyakula
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app