Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Watoe wapi? muulize 25 years mbele..., π π π π π πLeta za Dodoma hapa, mbona unaogopa?ππ
Watoe wapi? muulize 25 years mbele..., π π π π π πLeta za Dodoma hapa, mbona unaogopa?ππ
Wew ni wa muthare au mukuru?View attachment 2348536
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
So hapa sio Mombasa π π ni uongo eti,ππππππ, kalilie kwa choo, masikini kama wewe hauna lako..,Unajua mie nimefika kwa groundππππππnimefika both cities na kukaa pia kwa hiyo sitaki uongo ππππ
ππππππ Ukiingalia hii video utaidharau Mombasa kichizi
Second tier city..., Kabul Afghanistan π π π π π π π π πMbona hapa pako poa tu...labda quality ya kameraView attachment 2348054
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Huyo hujawahi kumuumbua, wewe unachanganya madesa, huyo ni sheby yupo ndani ya ka Nairobi kitambo na ana picha nyingi chafu za ka Nairobi kama unabisha we endelea kumletea ujuaji alafu uone atakufanya nnSo hapa sio Mombasa![]()
ni uongo eti,
, kalilie kwa choo, usisahau nilikuumbua ulikua unadanganya watu uko Nairobi kumbe unaokota vipicha google ukipost, nyambaff, masikini kama wewe hauna lako..,
Mitaa ya waarabu na wahindi Dar is slum..,
View attachment 2348554








Picha kali unalazimisha iwe mbaya, una wivu wa kike sana mbwa wewe




Urban decay hatari, unaweza dhani kulikua na nuclear bomb hapo.π€£π€£π€£π€£Second tier city..., Kabul Afghanistan π π π π π π π π π
View attachment 2348566
Mombasa tukiweka na Dar step by step kote kote hadi mitaani, watabakia na CBD na BRT tu ya kuringa nazo.., Mombasa is better on average..., tembelea google earth ulinganishe na uswazi city(Dar is slum), it is too obvious.., π π π π π π π πyani, nimepigwa na butwaaππ hivi, at the very deep heart of dar cbd kumbe inakaa hiviπ
Don YF, heb njoo ustajabu ya firaoni, ata si ya musa
View attachment 2348186
πππππππ kweli pia mimi nimeona.., ππππππPicha kali unalazimisha iwe mbaya, una wivu wa kike sana mbwa wewe![]()
Tunajua hata Nairobi ni choo lakini Mombasa imetia fora πππNdio muonekano wa second tier cities.., ila Mombasa iko nafuu zaidi ya Dar, has mitaa mingi sana ya raiya wa kawaida ya adabu, Dar ni uswazi kote kote.., ushamba tupu...,
View attachment 2348555
View attachment 2348557
View attachment 2348558
View attachment 2348559
View attachment 2348560
View attachment 2348564
Mombasa
View attachment 2348561
View attachment 2348562
View attachment 2348563
Ata kuelewa hauelewi nyambaff, yaani kumbe ni wakenya wanaenda Tanzania kisha wana export mahindi to Kenya, yaani mpo mpo tu, wao wanatengeneza hela ndefu, mama anajaribu kusaidia mifukara, tunawatafuna na bado tutaendelea kuwatafuna, shukuru mama kilaza, ningekua wewe singepost hii news, ni aibu, ina anika ujinga wenu na unyonge, yaani kumbe total export yenye huwa mnapost wakenya wajanja ndio huwa wanafaidika sana π π π π π π π π π π πHawa watu sijui jeuri wanaitoaga wap..wakati wanaitegemea Tz kwa kila kitu...View attachment 2348352
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Mombasa sehemu with such looks ni mitaani, yaani makazi.., na Tanzania ita tajwa kama town etiππππππππ