Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dini sio academia. Wewe unasema kuna uwepo wa kuzimu lakini hakuna substantiated proof, lakini Mimi nasema kuna black holes in the universe na proof ninayo. Nikianzisha dini yangu leo hii yenye ideals zangu haitakuwa tofauti na dini nyingine unazozifahamu.
Unajua maana ya neno dini. ?
 
Dini ni neno la kiarabu lililotoholewa na kuwekwa kwenye lugha ya kiswahili, likiwa na maana ya mwenendo mzima wa maisha ya mwanadamu ya kila siku, kwahyo wewe ukisema una dini ya kiislamu that means wewe unafuata mienendo ya maisha ya kibinadamu kwa mujibu wa maelekezo ya kiislamu, hivyo hivyo kwa wakristo
Yes, of course. Basis nzima ya dini ni kuamini uwepo wa supernatural force. Kwamba, maisha ya binadamu yanatawaliwa na nguvu isiyo na limits, mwanzo wala mwisho.
Kwahyo kama huna dini, means huna muongozo wa maisha yako, wewe, mbuzi, mbwa na wanyama wengine wote mpo kwenye kundi moja
 
Dini ni neno la kiarabu lililotoholewa na kuwekwa kwenye lugha ya kiswahili, likiwa na maana ya mwenendo mzima wa maisha ya mwanadamu ya kila siku, kwahyo wewe una dini ya kiislamu that means wewe unafuata mienendo ya maisha ya kibinadamu kwa mujibu wa maelekezo ya kiislamu, hivyo hivyo kwa wakristo

Kwahyo kama huna dini, means huna muongozo wa maisha yako, wewe, mbuzi, mbwa na wanyama wengine wote mpo kwenye kundi moja
Nikuulize maswali baadhi. Kabla ya waarabu wa Oman kuja Pwani ya Afrika Mashariki kutafuta watumwa, ancestors wako hawakufahamu Uislamu. Pia, kabla ya wakoloni kuja kutawala na kuiba, walileta Ukristo, ambao pia wahenga wako hawakuufahamu. Still, they had their own religious practices, because they believed In a Supernatural force. Kwanini leo Uislamu ai Ukristo utawale maisha yako wakati hata sio asili ya identity yako?
 
Nikuulize maswali baadhi. Kabla ya waarabu wa Oman kuja Pwani ya Afrika Mashariki kutafuta watumwa, ancestors wako hawakufahamu Uislamu. Pia, kabla ya wakoloni kuja kutawala na kuiba, walileta Ukristo, ambao pia wahenga wako hawakuufahamu. Still, they had their own religious practices, because they believed In a Supernatural force. Kwanini leo Uislamu ai Ukristo utawale maisha yako wakati hata sio asili ya identity yako?
Hizo zote hazikua dini Bali ni mila na desturi and after all baada ya ujuio wa watu weupe walileta ustaarabu (dini) tukaachana na kukeketana, kuabudu mibuyu, nyoka na miupuuzi mingine, tuliyokua tumeyapatia majina "MIUNGU".. so kwasasa tuna dini and if u ar against it wewe ni sawa a makenge, mijusi na wadudu wengine
 
Hizo zote hazikua dini Bali ni mila na desturi and after all baada ya ujuio wa watu weupe walileta ustaarabu (dini) tukaachana na kukeketana, kuabudu mibuyu, nyoka na miupuuzi mingine, tuliyokua tumeyapatia majina "MIUNGU".. so kwasasa tuna dini and if u ar against it wewe ni sawa a makenge, mijusi na wadudu wengine
nani kakuamia hamna ukeketaji Uarabuni?
 
nani kakuamia hamna ukeketaji Uarabuni?
Hata waarabu kabla ya ujio wa dini walikuwa na Mila na desturi zao za hovyo ambazo hazikubaliki, ustaarabu kwa waarabu ulitokana na aliekua nabii wakati huo (katika imani ya kiislamu), akastaarabisha watu wakee then ustaarabu huo ukaenezwa mpaka huku Africa
 
Hata waarabu kabla ya ujio wa dini walikuwa na Mila na desturi zao za hovyo ambazo hazikubaliki, ustaarabu kwa waarabu ulitokana na aliekua nabii wakati huo (katika imani ya kiislamu), akastaarabisha watu wakee then ustaarabu huo ukaenezwa mpaka huku Africa
Mpaka leo ukeketaji upo na Uislam wake uliopo! Mpaka leo utumwa upo Urabuni na Uislam wake!
 
Mpaka leo ukeketaji upo na Uislam wake uliopo! Mpaka leo utumwa upo Urabuni na Uislam wake!
Bro it's not necessary watu wote wawe wanafuata kila walichofundishwa (kuna watkao pinga), but taratibu zipo kwa mwenye kutaka afuate, hiyo ndio tunaita dini, kuwa Mwarabu haimanishi kuwa muislamu
 
Hizo zote hazikua dini Bali ni mila na desturi and after all baada ya ujuio wa watu weupe walileta ustaarabu (dini) tukaachana na kukeketana, kuabudu mibuyu, nyoka na miupuuzi mingine, tuliyokua tumeyapatia majina "MIUNGU".. so kwasasa tuna dini and if u ar against it wewe ni sawa a makenge, mijusi na wadudu wengine
Dini ni tamaduni. Tamaduni ya Kikristo haitawali Mashariki ya Kati, tamaduni ya Kiislamu haitawali North America na Europe. India na Pakistan wana similarities nyingi lakini dini inategeneza utofauti wa tamaduni walizonazo.

Unafikiri kwanini Uislamu ulienezwa Pwani ya Afrika Mashariki? Kwasababu Ndio utamaduni wa watawala. Wale wanaotawaliwa, ilibidi wasahau na kuachana na tamaduni zao ili kufuata amri. Wakoloni pia walitumia njia hii hii. Kwamba Afrika ilikuwa “bara la Giza” Sehemu ambayo haiko-civilized. Kwa hiyo Maana yao ya civilization ni kuwa na western traditions, including Christianity because it’s a western religion. Kutumia missionaries ku-brainwash watu ili kukubali colonial rule Ndio ilikuwa suluhusho.

Civilization sio characteristic ya western traditions. Western civilization started in Greece. Middle Eastern civilizations in Mesopotamia. But there are plenty of civilizations that started in Africa. It’s just that our side of the story is weaker because we’ve been brainwashed to believe that civilization and Africa are not compatible!
 
Dini ni tamaduni. Tamaduni ya Kikristo haitawali Mashariki ya Kati, tamaduni ya Kiislamu haitawali North America na Europe. India na Pakistan wana similarities nyingi lakini dini inategeneza utofauti wa tamaduni walizonazo.

Unafikiri kwanini Uislamu ulienezwa Pwani ya Afrika Mashariki? Kwasababu Ndio utamaduni wa watawala. Wale wanaotawaliwa, ilibidi wasahau na kuachana na tamaduni zao ili kufuata amri. Wakoloni pia walitumia njia hii hii. Kwamba Afrika ilikuwa “bara la Giza” Sehemu ambayo haiko-civilized. Kwa hiyo Maana yao ya civilization ni kuwa na western traditions, including Christianity because it’s a western religion. Kutumia missionaries ku-brainwash watu ili kukubali colonial rule Ndio ilikuwa suluhusho.

Civilization sio characteristic ya western traditions. Western civilization started in Greece. Middle Eastern civilizations in Mesopotamia. But there are plenty of civilizations that started in Africa. It’s just that our side of the story is weaker because we’ve been brainwashed to believe that civilization and Africa are not compatible!
Huu ujinga ulioandika hapa inaonyesha wazi hujasoma dini kabisa na wala hujui history..

Dini sio tamaduni, na dini hazipo kwaajili ya watu wa ukanda flani..

Imani zote za kiislamu na kikristo zinaamini katika Ibrahim/Abraham

And the man was from today's Iraq, and he later migrated to today's Israel (in the land Palestine) yote hii ni middle East .

Hizo claims zako za civilization zimetokana na ukanda ulitoa wapi.! 🤣

Mambo za ukoloni ni kitu kingine kabisa, hizina uhusiano wowote na dini.. Waarabu walifika pwani ya Africa mashariki tangu karne ya 14
 
Huu ujinga ulioandika hapa inaonyesha wazi hujasoma dini kabisa na wala hujui history..

Dini sio tamaduni, na dini hazipo kwaajili ya watu wa ukanda flani..

Imani zote za kiislamu na kikristo zinaamini katika Ibrahim/Abraham

And the man was from today's Iraq, and he later migrated to today's Israel (in the land Palestine) yote hii ni middle East .

Hizo claims zako za civilization zimetokana na ukanda ulitoa wapi.! 🤣

Mambo za ukoloni ni kitu kingine kabisa, hizina uhusiano wowote na dini.. Waarabu walifika pwani ya Africa mashariki tangu karne ya 14
You neglect to acknowledge the fact that none of the Abrahamic religions we’ve been talking would have gained footing in East Africa without Slavery and colonization.

Judaism is an Abrahamic religion just as Christianity and Islam, but tell me why there are barely any Jews in this part of the world.

You accuse me of being unaware of history, but you have absolutely no idea that there are many earlier African civilizations. It’s such a shame that you hold them at low standards while glorifying foreign civilizations. You think worshiping gods from foreign civilizations makes you better than your ancestors who believed in other gods? How stupid can one be?

Catholic Churches have statues of white people, yet you’re here telling me that it has nothing to do with colonialism. SMH!
 
Huyu Ibrahim/Abraham, inamaanika pia ni katika kizazi chake, Isack and Ismail ndio walipopatikana Issa/Yesu (Kutokea kwa nasaba ya Isack) na Mohammed (WAS) (kutokea kwa nasaba ya Ismail).. wote hawa ni wenyeji wa middle East .. Israel-Saudi Arabia..

Hizo claims za ukristo ni western religion we umezitolea wapi.? Walker255
 
Huyu Ibrahim/Abraham, inamaanika pia ni katika kizazi chake, Isack and Ismail ndio walipopatikana Issa/Yesu (Kutokea kwa nasaba ya Isack) na Mohammed (WAS) (kutokea kwa nasaba ya Ismail).. wote hawa ni wenyeji wa middle East .. Israel-Saudi Arabia..

Hizo claims za ukristo ni western religion we umezitolea wapi.? Walker255
I never denied that Christianity is not an Abrahamic religion. However, the Christian population in the Middle East is extremely small. The Roman Empire adopted Christianity and began spreading it Westwards, which is where it gained more popularity - mostly because of the power of the empire itself!
 
Back
Top Bottom