Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,887
- 103,752
Nowhere to be found in Kunyaland's soil!
So what, watu wanaishi kwa hizo stand? an excuse ili ujiliwaze tu, jikubali tu, ata waganda wataturingia na masoko yao clasic sio ajabu, on average standards Kisumu iko juu ya Mwanza na Arusha😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Huto tumji twenye mabweni na vijumba vya kufanana hata Stand hakuna..
Tanzania Stand za maana hadi Miji midogo,look here hapa ni Kakonko 👇
Kitu wakenya walinyimwa ni kukubali wakishindwa na jambo,Arusha imezidi Kisumu kwa mambo mengi sana lakini wako kimyaOohps sorry sijamalizaburka City in ARUSHA
..https://youtu.be/4L_9dOvAqUY. Some other residential area kando ya CBD![]()
View attachment 2339165View attachment 2339166kisumu hazitawahi wezana na ARUSHA hata siku moja, that will never happen my dear bro, najua unaumia lakini hakuna namna huo ndio ukweli
Soma hapa 👇"$ 30 bln pledge"!
Tena kwenye hotels bora usipaguse mnaaibika mapemaKisumu has 4 star hotels, a lot.
Haupati Arusha or Mwanza.., zingekuepo unge post humu angles zote..., ama unataka nikusaidie upande wa Arusha?..Unapiga kelele mingi kama mbwa kichaa 🤣🤣🤣 Unaweza leta makazi ya watu wa kawaida from Kisumu kama haya in ARUSHA yenye this level of decent 👇View attachment 2339782View attachment 2339783lami kila kona, pedestrian Walk ways, sewage system, taa za barabarani and more.?
Naona baada ya kibano kua Kikali umeanza kua serious
ARUSHA Ina makazi mengi ambayo yapo vizur hilo ni eneo moja tu 🤣🤣🤣 relaxHaupati Arusha or Mwanza.., zingekuepo unge post humu angles zote..., ama unataka nikusaidie upande wa Arusha?..
Onyesha angles zote kama Kisumu..., battle iliisha, haupati jibu kutoka Mwanza or Arusha..
View attachment 2339786
View attachment 2339787
View attachment 2339788
View attachment 2339790
View attachment 2339793
View attachment 2339797
Hiyo hatuwaringii, tunaonyesha tu makazi ya kawaida, yenu ya kawaida hazina lami so usijitoe ufahamu, hiyo ni mitaa ya kawaida kama unataka za lami kila kona pia sema.., kama hii hapa Kisumu,..,🤣🤣🤣 makazi tunayoringishiwa nayo from our neighbor's village center 👇View attachment 2339791hakuna nata centimeter moja ya lami 🤣🤣🤣 Don YF. We huwa umerogwa au vipi.? Heb ona vile ARUSHA inakaa 👇View attachment 2339795View attachment 2339796tofauti ya haya maeneo ni peponi na motoni 🤣🤣🤣
Ni kweli, kama hili suala la Kisumu kuzidiwa at least 20 years na ARUSHA ni suala ni jambo linalowauma sana 🤣🤣🤣Kitu wakenya walinyimwa ni kukubali wakishindwa na jambo,Arusha imezidi Kisumu kwa mambo mengi sana lakini wako kimya
Mitaa ya watu wa kawaida nah.., nenda kadanganye vilaza kama wewe...., ama nikuteremshie google earth?.., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂ARUSHA Ina makazi mengi ambayo yapo vizur hilo ni eneo moja tu 🤣🤣🤣 relax
Huku ndio hutaweza kabisa 🤣🤣🤣 Njiro ARUSHA 👇Hiyo hatuwaringii, tunaonyesha tu makazi ya kawaida, yenu ya kawaida hazina lami so usijitoe ufahamu, hiyo ni mitaa ya kawaida kama unataka za lami kila kona pia sema.., kama hii hapa Kisumu,..,
View attachment 2339800
tuusan nataka unijibu kiukweli, battle ni makazi ya kawaida ya raiya, yaani "Eastlands" ya Arusha, Mwanza na Kisumu.., wenzako wamekimbilia Villas, Hotels, resorts na posh estates za wachache.., sioni density ya makazi ya raiya wa kawaida either Mwanza ama Arusha.., google earth iko nazijua ila nataka wenyewe waweke.., ama mbadilishe debate..,Kitu wakenya walinyimwa ni kukubali wakishindwa na jambo,Arusha imezidi Kisumu kwa mambo mengi sana lakini wako kimya
Wacha kulazimishaga vitu mzaee Kisumu hauiwezi ARUSHA kivyovyote... Sio makazi sio maendeleo.. kivyovyote vile..tuusan nataka unijibu kiukweli, battle ni makazi ya kawaida ya raiya, yaani "Eastlands" ya Arusha, Mwanza na Kisumu.., wenzako wamekimbilia Villas, Hotels, resorts na posh estates za wachache.., sioni density ya makazi ya raiya wa kawaida either Mwanza ama Arusha.., google earth iko nazijua ila nataka wenyewe waweke.., ama mbadilishe debate..,
Weka makazi ya raiya wa kawaida, angles zote, aerial, google earth na kwa ground in a wide area, domo domo hadi lini? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Wacha kulazimishaga vitu mzaee Kisumu hauiwezi ARUSHA kivyovyote... Sio makazi sio maendeleo.. kivyovyote vile..
Huwez kuitaja Arusha peke yake unaiogopa Sana ChugaHaupati Arusha or Mwanza.., zingekuepo unge post humu angles zote..., ama unataka nikusaidie upande wa Arusha?..
Onyesha angles zote kama Kisumu..., battle iliisha, haupati jibu kutoka Mwanza or Arusha..
View attachment 2339786
View attachment 2339787
View attachment 2339788
View attachment 2339790
View attachment 2339793
View attachment 2339797

Kichapo unachokula bado unakaidi.? 🤣🤣🤣🤣 We jamaa ni mzimu wewe. PoleWeka makazi ya raiya wa kawaida, angles zote, aerial, google earth na kwa ground in a wide area, domo domo hadi lini? 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Nje ya Dar, iwe Mwanza ama Arusha, ama popote pale haupati such standard kwa hii density..., ni ushuzi ndio utapata in such concentrated density, ama namna gani Sama boy 255 😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣 makazi tunayoringishiwa nayo from our neighbor's village center 👇View attachment 2339791hakuna nata centimeter moja ya lami 🤣🤣🤣 Don YF. We huwa umerogwa au vipi.? Heb ona vile ARUSHA inakaa 👇View attachment 2339795View attachment 2339796tofauti ya haya maeneo ni peponi na motoni 🤣🤣🤣