Don YF
JF-Expert Member
- May 24, 2014
- 11,111
- 10,547
Sina haraka nangoja tu makazi ya raiya wa kawaida? unazo kilaza?., any?Kichapo unachokula bado unakaidi.? 🤣🤣🤣🤣 We jamaa ni mzimu wewe. Pole
Sina haraka nangoja tu makazi ya raiya wa kawaida? unazo kilaza?., any?Kichapo unachokula bado unakaidi.? 🤣🤣🤣🤣 We jamaa ni mzimu wewe. Pole
Yaani najaribu kuwaondolea aibu naichukua Arusha na Mwanza kwa pamoja zisaidiane kupambana na Kisumu lakini wapi., hauoni ni aibu wewe 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Huwez kuitaja Arusha peke yake unaiogopa Sana Chuga![]()
Density gani baba .? 🤣🤣🤣 Si ni hapa au.? 👇hakuna hata lamiNje ya Dar, iwe Mwanza ama Arusha, ama popote pale haupati such standard kwa hii density..., ni ushuzi ndio utapata in such concentrated density, ama namna gani Sama boy 255 😂😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2339813
Kwahyo hii post 👆 haujaiona.? 🤣🤣🤣🤣, Au unataka makazi ya kawaida gani.?Huku ndio hutaweza kabisa 🤣🤣🤣 Njiro ARUSHA 👇View attachment 2339803View attachment 2339804ngaramtoni ya chini 👇View attachment 2339805View attachment 2339806View attachment 2339807burka City 👇View attachment 2339808yani Kisumu ni joke tu mbele ya ARUSHA mzee, don't dare to compare them 🤣🤣🤣🤣🤣
Sina haraka nangoja tu makazi ya raiya wa kawaida? unazo kilaza?., any?
Maumivu yakizidi muone daktari😂😂😂😂😂😂😂😂Density gani baba .? 🤣🤣🤣 Si ni hapa au.? 👇hakuna hata lamiView attachment 2339815linganisha na hapa sasa 👇View attachment 2339816ila Naya feel maumivu yako 🤣🤣🤣
Kilaza mimi sio mwehu..., ukitaka tuende na google earth be my guest.., in Mwanza na Arusha hakuna jibu kwa Kisumu, makazi ya kawaida nazijua bana, kama una jipya haya basi uwanja ni wako, weka all angles 😂😂😂😂😂.,Kwahyo hii post 👆 haujaiona.? 🤣🤣🤣🤣, Au unataka makazi ya kawaida gani.?
Dah unajichekesha maskini ya Mungu 🤣🤣🤣🤣, pole sanaMaumivu yakizidi muone daktari😂😂😂😂😂😂😂😂
Lolwe
View attachment 2339817
View attachment 2339821
Migosi
View attachment 2339818
Kondele
View attachment 2339820
Kwa ujumla bila Mamboleo, Kibos, Tom Mboya, Arena, Riat/Airport estates...,
View attachment 2339822
Nayajua maumivu unayoyapata, Aibu, limekushuka maskini, kila mtu unaodandia unavunjika 🤣🤣🤣, muungwana akivuliwa nguo hasimami huchutama.. kibali kushindwa yaishe. Au ipotezee kiaina, mana ni AibuKilaza mimi sio mwehu..., ukitaka tuende na google earth be my guest.., in Mwanza na Arusha hakuna jibu kwa Kisumu, makazi ya kawaida nazijua bana, kama una jipya haya basi uwanja ni wako, weka all angles 😂😂😂😂😂.,
Weka basi moja tu ijibu hii hapa.., mtaa moja tu wa raiya? iwe Mwanza ama Arusha.., ukipata nafunga account JF..., ama unataka tuende kwa posh estates?.., kwa maana kwa hili mmeshindwa kabisa?Dah unajichekesha maskini ya Mungu 🤣🤣🤣🤣, pole sana
Sasa hiki ni nini umepost.? 🤣🤣. Yani kabisa hauoni aibu.? Vumbi kila konaWeka basi moja tu ijibu hii hapa.., mtaa moja tu wa raiya? iwe Mwanza ama Arusha.., ukipata nafunga account JF..., ama unataka tuende kwa posh estates?.., kwa maana kwa hili mmeshindwa kabisa?
View attachment 2339832
Jibu hauna mimi nitapatwaje na aibu dogo?., hii sasa ni KO! Kalala chali, hesabu zimefika kumi ata kuinua kichwa huwezi, blackout 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Nayajua maumivu unayoyapata, Aibu, limekushuka maskini, kila mtu unaodandia unavunjika 🤣🤣🤣, muungwana akivuliwa nguo hasimami huchutama.. kibali kushindwa yaishe. Au ipotezee kiaina, mana ni Aibu
We nani aliekukataza kupost posh estates na hotels?tuusan nataka unijibu kiukweli, battle ni makazi ya kawaida ya raiya, yaani "Eastlands" ya Arusha, Mwanza na Kisumu.., wenzako wamekimbilia Villas, Hotels, resorts na posh estates za wachache.., sioni density ya makazi ya raiya wa kawaida either Mwanza ama Arusha.., google earth iko nazijua ila nataka wenyewe waweke.., ama mbadilishe debate..,
Jibu? Mwanza? Arusha?..., ni mtaa wa kawaida., Eastlands ya Kisumu mahali raiya wengi wamekusanyika.., 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sasa hiki ni nini umepost.? 🤣🤣. Yani kabisa hauoni aibu.? Vumbi kila kona
Hii picha kwann ni mbaya hivi?Nje ya Dar, iwe Mwanza ama Arusha, ama popote pale haupati such standard kwa hii density..., ni ushuzi ndio utapata in such concentrated density, ama namna gani Sama boy 255
View attachment 2339813
Debate was "Eastlands" ya hizo miji mitatu..., na wewe uko na jibu?..We nani aliekukataza kupost posh estates na hotels?
Lami na order vimeambatana sa ye anapost magofuDensity gani baba .?Si ni hapa au.?
hakuna hata lamiView attachment 2339815linganisha na hapa sasa
View attachment 2339816ila Naya feel maumivu yako
![]()
Alteration ya zoom, Kwa karibu👇👇..,Hii picha kwann ni mbaya hivi?
Debate was kisumu as a city vs arusha, yani unataka hadi kutuchagulia silaha kwenye vita?Debate was "Eastlands" ya hizo miji mitatu..., na wewe uko na jibu?..
Nangoja jibu, Kiswahili nimejifunza ya kutosha dogo., ukipata jibu nitag tafadhali😂😂😂😂😂😂😂😂😂Oya Don YF wadigo Wana msemo wao wanasema "Ashindwae pia ni mume" kushindwa leo kusikukoseshe amani, subir Kisumu itafika level za ARUSHA one day then we utakuja hapa kuitetea, ila kwasasa hapana