The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Achana naye msen.ge uyo, tuko hapa tunafuatilia kapost ghorofa 4 tu za ten floors kutoka Kisumu.Hizi pia ni tisa sio kumi .. umepost gorofa 6 tu mpaka sasa
Achana naye msen.ge uyo, tuko hapa tunafuatilia kapost ghorofa 4 tu za ten floors kutoka Kisumu.Hizi pia ni tisa sio kumi .. umepost gorofa 6 tu mpaka sasa
Basi ushamaliza, inatosha battle ya Arusha vs Kisumu village imefungwa rasmi.



Huku ndio wala huwezi utakimbia mbio za mbwa mwizi
Nimepiga hiyo mbwa mpaka basi 🤣Achana naye msen.ge uyo, tuko hapa tunafuatilia kapost ghorofa 4 tu za ten floors kutoka Kisumu.
Sisi mpira hatujui mkuu hilo liko wazi ila tuna timu imara za mpira kwa ngazi ya vilabu cz pesa tunayo tunanunua wachezaji popote duniani tunawaleta kwenye vilabu vyetu. Ndiyo maana unaona hata ngazi ya vilabu timu zetu zinafanya vizuri Afrika, usisahau pia jana Simba alishinda mechi akiwa away, kashinda 4-1.Tanzania the east Africa soccer power house imetandikwa na minnows Uganda kama burukengena wanajifanya hawajui
Hardware 😂 😂 😂 😂Hii City Mall ni ugly sana. Inafanana warehouse.
What have they ever won?Sisi mpira hatujui mkuu hilo liko wazi ila tuna timu imara za mpira kwa ngazi ya vilabu cz pesa tunayo tunanunua wachezaji popote duniani tunawaleta kwenye vilabu vyetu. Ndiyo maana unaona hata ngazi ya vilabu timu zetu zinafanya vizuri Afrika, usisahau pia jana Simba alishinda mechi akiwa away, kashinda 4-1.
Kumbe Eastleigh iko na Malls mingi sana than Dar kama hizi 👇👇 zinahesabiwa eti ni malls in Dar is slum😂😂😂😂😂😂😂😂😂..,
Mlinyonga dogoo wajameni., nilichungulia kwa mbali nikacheka😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂🤣 🤣 🤣 Hadi umeanza kuleta maofisi. Kidogo utatupostia TPA tower.
Kawaulize CAF imekuaje ligi ya Tanzania iwe kati ya ligi bora Afrika na hawajashinda kitu.What have they ever won?
Yaani huu ukweli umekuuma umekosa la kusema, kama uko na maoni mbadala weka humu with evidence, hii battle mlihara, kiukweli Uganda wamewapiga kwa malls na masoko pia.., they build quality markets kila eneo, hii ni Soroti, wako na masoko clasic sana, ata kushinda Kenya kwa maoni yangu, ata town ndogo ya Busia Uganda kwa border na Kenya kuna soko bomba..,Kukuwa mkunya kweli ni laana![]()
Alianza mwenyewe akajiharia.., alidhani Kisumu ni only 3.., kidogo akashangaa zimefika nne.., kidogo anaona zinaendelea kuongezeka, akaanza Kiswahili kama kawaida 😂 😂 😂 😂 😂 😂Arusha 7 - 9 Kisumu. Sasa twende kwa aviation 😂😂