NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,382
- 17,966
Post zako tuzione. Umepost mall moja pekee ukaanza maapartment. Acha kuhepa.Haya ni masoko au.? 🤣🤣🤣
Post zako tuzione. Umepost mall moja pekee ukaanza maapartment. Acha kuhepa.Haya ni masoko au.? 🤣🤣🤣
Hapa 👆 ni apartments au ni mall umepost.? 🤣🤣🤣Garden City, 50,000 sq,m. This is a humongous mall kijana.
![]()
![]()
![]()
🤣🤣🤣🤣 Angalia juu hapo kwenye huo upupu uliopostBoss, Apartments unaita mall? Hivi unajua meaning ya Mall?🤣🤣🤣
Kuna mall na kuna apartments karibu na mall. Ama ulitaka ning'oe apartments kwa picha ibaki mall pekee? Mall ni hilo jengo kubwa. Hilo ndio 50,000 sq.m.Hapa 👆 ni apartments au ni mall umepost.? 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Angalia juu hapo kwenye huo upupu uliopost
Hii 👆post nadhani uliiona jibu hii hapo.. tukiweka Sqm2 kuanzia mall apartments na every single property vyenye vyote ni sehemu ya mall basi Mlimani city Mall is huge at least two times to Garden City Mall🤣🤣🤣 Dah so poa.. yo kenyans ifike mahala tuheshimiane manzee this is Garden City Mall which is claimed to be 50k Sam 👇View attachment 2336527vs multipurpose Mlimani city Mall 👇View attachment 2336532au hizo Sqm mnahesabu na hiyo reserved area hapo pembeni.? 🤣🤣🤣.. Garden City Mall ni tinny sana kulinganisha na Mlimani city Mall
Kuna mall na kuna apartments karibu na mall. Ama ulitaka ning'oe apartments kwa picha ibaki mall pekee? Mall ni hilo jengo kubwa. Hilo ndio 50,000 sq.m.
Una haraka sana twende taratibu taratibu 🤣🤣🤣
Post zako tuzione. Umepost mall moja pekee ukaanza maapartment. Acha kuhepa.
Umepost mall moja ukaanza kulialia. Yani wewe ni kicheko. Hiyo Mlimani City yenu ni nyumba simple kama godown halafu haina floors nyingi. Garden City ina floors kibao. Halafu hiyo 50,000 sq.m ni retail space, sio apartments. Hizo apartments haziko part of the mall. Now, post your malls and stop whining. So far umepost Mlimani city pekee.Hii 👆post nadhani uliiona jibu hii hapo.. tukiweka Sqm2 kuanzia mall apartments na every single property vyenye vyote ni sehemu ya mall basi Mlimani city Mall is huge at least two times to Garden City Mall
Ila nkikumbuka tukio la westgate ndio nkajua wakenya wanajisifu bure wakenya mnanjaaa sana adi maafisa polisi walkua wanaiba sembe badala ya kupambana.. ndio ujue mnanjaa sanaaa na amjui kupambana ata na hao vibaka wa alshabibi cjuiWestgate Mall
![]()
![]()
mpeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee showAura mall the third biggest Mall in Dar so far 👇View attachment 2336539sky City mall 👇View attachment 2336541View attachment 2336542View attachment 2336543quality center mall 👇View attachment 2336545malls in Dar seem to different, ni gorofa kali za vioo tu, very classy
🤣🤣🤣 Heb wacha kuchekesha watuUmepost mall moja ukaanza kulialia. Yani wewe ni kicheko. Hiyo Mlimani City yenu ni nyumba simple kama godown halafu haina floors nyingi. Garden City ina floors kibao. Halafu hiyo 50,000 sq.m ni retail space, sio apartments. Hizo apartments haziko part of the mall. Now, post your malls and stop whining. So far umepost Mlimani city pekee.
Yani wewe ukiona vioo ndio umeona jengo? Hili jengo ni hovyo sana. The best built mall in Dar ni hiyo Mlimani City na haina vio. Sometimes vioo hukaa so Tacky. Inategemea zimewekwa aje. k.m, hii signature mall ni vioo tupu (na ni kali kuliko hiyo Quality Center) ila haiwezi fikia malls kama the Hub na The Waterfront ambazo hazina vioo. Jengo ni design na ubora wa ujenzi, sio vioo.Aura mall the third biggest Mall in Dar so far 👇View attachment 2336539sky City mall 👇View attachment 2336541View attachment 2336542View attachment 2336543quality center mall 👇View attachment 2336545malls in Dar seem to different, ni gorofa kali za vioo tu, very classy
Umeua huyo plumber 😂😂🤣Wacha nikupe Garden City Mall upumzike. 🤣🤣
![]()
Hapa ikijengwa
![]()
Mambo ya mall yanategemea na shopping culture ya jamii na sielewi kwa nini mnaona kama big deal.But Kampala has many malls compared to entire Tanzania.