Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Japokuwa kipindi cha JPM ilikuwa too much, binafsi sioni tatizo saana kwenye hili la viwanja, madaraja na barabara! Linafanyika sehemu nyingi Duniani! Sioni ubaya uwanja wa Msalato Dodoma utakapokamilika kuitwa Samia Hassan International Airport!

Kwangu mimi ni tatizo unapobadili jina la sehemu ya kijiji kama Mji wa Serikali wa Mtumba kuitwa Magufuli! Majina ya sehemu huwa yana maana yake kwa wakazi husika sasa kuenda sehemu kama Mtumba halafu unapaita Magufuli ni kupoteza utambulisho, mila na desturi na mila za wakazi wa sehemu husika!
Chawa wewe kila uchafu wa awamu ya 6 lina halalisha
 
download%20(2).jpeg
 
Mtindo huo ulianzishwa na Sukumagang kipindi cha Magufuli! Pitia vizuri hadidu rejea hutapata kipindi cha JK, Mkapa, Mwinyi ata Nyerere ikisemwa fedha zimetolewa na Rais!
Ni wakati hii serikali iachane na haya matamko
 
Mimi mwenyewe siipendi, ikianza kushamiri kipindi cha Magu nikafikiri Mama ataikataa ila naona naye anaifurahia.
Kitu kingine sipendi ni ile tabia ya kubadilisha majina ya asili kuwa majina ya viongozi, mfano kigongo busisi Bridge inakuwa Jpm Bridge.
Leo Wami Bridge iitwe Samia Bridge.
Kama kuna umuhimu sana wa kutumia majina ya viongozi basi iwe ni kitu kipya ambacho hakina Jina la asili au ichanganywe Jina la kiongozi na Jina la asili.
Mfano Jpm Bridge iwe
Kigongo Busisi Jpm Bridge
Nyerere Bridge iwe Kigamboni Nyerere Bridge.
Ni mawazo yangu tu.
Mimi wakianza huu ujinga hua Maxima TV!
 
They import every processed product from Kenya.
Hivi wewe una akili au ni kichaa?, Kwani so mipaka ipo huru kwa bidhaa yoyote kutoka nchi yoyote kuuzwa katika nchi zote ndani ya EAC.

Whitedent tooth paste na Energy drinks za Tanzania zimejaa huko Kenya, hiyo haimaanishi kwamba huko Kenya hizo bidhaa hazitengenezwi, punguza uzuzu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom