Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Upperhill, Look at the streets quality.

download.png
 
Gharama za maisha zinaongezeka kwa hiyo data nazo kuongezeka hakuna ajabu..

Ulinganisho wa bei za data ,bado Tanzania ina Bei ya chini sana..👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220819-153705.png
    Screenshot_20220819-153705.png
    42.5 KB · Views: 7
Yaani kasema ukweli, yaani kkusalimia huku utakuta mtu anasema anamshukuru kiongozi X kwa kutoa kiasi X cha pesa kwa ajili ya mradi X,utadhani ni pesa za kiongozi wakati ni Kodi ya wananchi,hii imeshamiri Sana hapa Tanzania 🇹🇿,siipendi hii Tabia.
Mtindo huo ulianzishwa na Sukumagang kipindi cha Magufuli! Pitia vizuri hadidu rejea hutapata kipindi cha JK, Mkapa, Mwinyi ata Nyerere ikisemwa fedha zimetolewa na Rais!
 

Hiyo Airport yetu mpya kwa maoni yangu kama wangeweka Migahawa kama ile ya Airport ya zamani mahali ambapo unaweza kukaa kupata kahawa au kula chochote huku ukisubiri mgeni ingekuwa poa sana, mara ya mwisho nilikuwa hapo kusubiri mgeni aidha utoke nje au ukae kwenye mabenchi ile ya zamani nilizoea kwenda flamingo au kununua kitu madukani kuvuta muda, lkn ni nionavyo mimi inawezekana wengi haliwasumbui hilo!
 
Hiyo Airport yetu mpya kwa maoni yangu kama wangeweka Migahawa kama ile ya Airport ya zamani mahali ambapo unaweza kukaa kupata kahawa au kula chochote huku ukisubiri mgeni ingekuwa poa sana, mara ya mwisho nilikuwa hapo kusubiri mgeni aidha utoke nje au ukae kwenye mabenchi ile ya zamani nilizoea kwenda flamingo au kununua kitu madukani kuvuta muda, lkn ni nionavyo mimi inawezekana wengi haliwasumbui hilo!
Post 9/11 kiusalama airports hazijengwi tena kama unavyotaka!
 
Yaani kasema ukweli, yaani kkusalimia huku utakuta mtu anasema anamshukuru kiongozi X kwa kutoa kiasi X cha pesa kwa ajili ya mradi X,utadhani ni pesa za kiongozi wakati ni Kodi ya wananchi,hii imeshamiri Sana hapa Tanzania 🇹🇿,siipendi hii Tabia.
Mimi mwenyewe siipendi, ikianza kushamiri kipindi cha Magu nikafikiri Mama ataikataa ila naona naye anaifurahia.
Kitu kingine sipendi ni ile tabia ya kubadilisha majina ya asili kuwa majina ya viongozi, mfano kigongo busisi Bridge inakuwa Jpm Bridge.
Leo Wami Bridge iitwe Samia Bridge.
Kama kuna umuhimu sana wa kutumia majina ya viongozi basi iwe ni kitu kipya ambacho hakina Jina la asili au ichanganywe Jina la kiongozi na Jina la asili.
Mfano Jpm Bridge iwe
Kigongo Busisi Jpm Bridge
Nyerere Bridge iwe Kigamboni Nyerere Bridge.
Ni mawazo yangu tu.
 
kiusalama airports hazijengwi kama unavyotaka!

Unamaanisha nini? Mbona Airport nyingi tu Duniani zina Migahawa hata ile ya zamani kulikuwa na Mgahawa Flamingo juu wasafiri na wasindikizaji wote waliweza kukaa kula na kunywa huku wakisubiri, kama nilivyosema kwangu mimi namiss hicho tu kwenye hii Airport mpya, vinginevyo iko poa!
 
Mtindo huo ulianzishwa na Sukumagang kipindi cha Magufuli! Pitia vizuri hadidu rejea hutapata kipindi cha JK, Mkapa, Mwinyi ata Nyerere ikisemwa fedha zimetolewa na Rais!
Hili sio jambo zuri kwa nini mama hajalikataa anaendelea nalo?
 

Tanzania invites bids for Uvinza-Gitega SGR line​



SUNDAY AUGUST 21 2022​

Engineers work on the Tanzanian SGR line at the Dar es Salaam station.

Engineers work on the Tanzanian SGR line at the Dar es Salaam station. PHOTO | FILE

By BOB KARASHANI
More by this Author

Tanzania is inviting bids for the construction of the 367km Uvinza-Gitega line that will extend the Standard Gauge Railway to Burundi.

In an August 12 notice, interested parties have until November 15 to place their bids with the Tanzania Railways Corporation, to design and build the line from Uvinza in western Tanzania to Burundi's administrative capital of Gitega.

The TRC said funds have already been set aside by both governments for the bilateral project to take off within the 2022/2023 financial year.

“It is intended that part of the proceeds of the funds will be used to cover eligible payments for contracts under the D&B [Design and Build] arrangement,” TRC said in the notice.

The project will involve 282km of the main line and 85km of siding/passing loops. Lot 1 will cover 180km from Uvinza to Malagarasi within Tanzania, and Lot 2 will cover 187km across the border to Musongati and then Gitega.

The project has been in the pipeline since January, when the two countries signed a memorandum of understanding on initial cost estimates of $900 million.

The notice said that although the Uvinza-Gitega link project will be supervised jointly with ARTF in Burundi, the TRC will be in charge of all related procurements on behalf of both governments.

Extension

The line will be an extension of Tanzania's ongoing $7.6 billion SGR project, providing Burundi with a link to the port of Dar es Salaam through the central corridor.

The line is expected to significantly lessen the costs of transporting Burundian goods.

Both countries are set to also benefit from increased cross-border trade via the railway line, and cargo volumes through the port of Dar es Salaam will be boosted.

Negotiations for similar SGR links with Rwanda, Uganda and the Democratic Republic of Congo are ongoing.

At the signing of the agreement, Burundi's Minister for Works and Infrastructure Deogratius Nsanganiyumwami said the link would allow the country to increase its cargo export volumes through Dar es Salaam to at least three million tonnes of minerals and one million tonnes of other cargo annually.

Burundi currently ships 99.2 percent of its international cargo through the port of Dar es Salaam, and Rwanda ships 86 percent, according to Tanzania Ports Authority figures.

Tanzania's 1,637km SGR line is being built in phases by contractors from Turkey and China. The first phase from Dar es Salaam to Morogoro (300km) is set to start operating next year following successful test runs.


MY TAKE
Wakati majirani wakiwa on the verge of another election, huku kwetu tender ya electrical SGR Uvinza-Msongati-Gitega imetangazwa!

Huku mama akitoka kumaliza majadiliano ya SGR Gitega-Bujumbura-Kindu DRC










CC: NairobiWalker, Tony254
 
Mimi mwenyewe siipendi, ikianza kushamiri kipindi cha Magu nikafikiri Mama ataikataa ila naona naye anaifurahia.
Kitu kingine sipendi ni ile tabia ya kubadilisha majina ya asili kuwa majina ya viongozi, mfano kigongo busisi Bridge inakuwa Jpm Bridge.
Leo Wami Bridge iitwe Samia Bridge.
Kama kuna umuhimu sana wa kutumia majina ya viongozi basi iwe ni kitu kipya ambacho hakina Jina la asili au ichanganywe Jina la kiongozi na Jina la asili.
Mfano Jpm Bridge iwe
Kigongo Busisi Jpm Bridge
Nyerere Bridge iwe Kigamboni Nyerere Bridge.
Ni mawazo yangu tu.
Japokuwa kipindi cha JPM ilikuwa too much, binafsi sioni tatizo saana kwenye hili la viwanja, madaraja na barabara! Linafanyika sehemu nyingi Duniani! Sioni ubaya uwanja wa Msalato Dodoma utakapokamilika kuitwa Samia Hassan International Airport!

Kwangu mimi ni tatizo unapobadili jina la sehemu ya kijiji kama Mji wa Serikali wa Mtumba kuitwa Magufuli! Majina ya sehemu huwa yana maana yake kwa wakazi husika sasa kuenda sehemu kama Mtumba halafu unapaita Magufuli ni kupoteza utambulisho, mila na desturi na mila za wakazi wa sehemu husika!
 
Raw materials mnatengenezea nn? Wallahi kuwa mkenya ni mzigo mzito duniani apa
Ni wakenya wanajituma kununua vitu tanzania na si watanzania wanajituma kuuza kenya, ama unadhani hizo high tourist numbers from kenya ni tourism pekee
 
Asante Sana Apollo Cancer Institute kwa kujenga hospital Tanzania..

Wakenya sasa mtapata matibabu ya world class kutoka Tanzania 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220821-121933.png
    Screenshot_20220821-121933.png
    64.6 KB · Views: 9
Kizungu kweli ilikuja na meli!😂😂
Ki ufupi you are telling us that you didn't understand the content of that tweet written in plain and simple English! Kizungu kizungumkuti!
cha kupewa siku zote akisitiri matako kiingereza ni kAMA KIjaluo.. tunaelewa sana sema atutaki shobo na lugha za kikoloni acha kuufurahia utumwa wa fikra.
 
Back
Top Bottom