KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
Again kenyans coming to tz to source for raw materials not vice versa
Again kenyans coming to tz to source for raw materials not vice versa
Yani kwa hizi namba hata sielewi kwa nini Air Tanzania haiendi UK na USA.
52,301÷280=186
Hii inamaanisha wanaweza kuwa na safari 186. Ukigawanya kwa wiki 52 kwa mwaka
186÷53=3
Yani they can have 3 weekly flight to the US. Hivi hawa jamaa wataamka lini?
Nimekosea namba ila najua point imefika,,![]()
Hahahaha, hahahaha, it is paining but you can't change the reality. We are the giant.Again kenyans coming to tz to source for raw materials not vice versa



Si amesoma planning Kwanini asifanye hizo kazi Wakati maarifa anayoMtu amesoma chato uko msingi mpaka sekondari,kidato Cha tano na sita amesomea Wilaya ya Ngudu,chuo kikuu udsm alafu unamkutan ndo afisa mipango miji.Bongo bahati mbaya.
The fact that Nairobi nzima wanaongea kiswahili ni dalili za kuwatawala, Mkenya kuacha lugha ya kujipendekeza kwa Malkia na lugha zao za Makabila ni kazi kubwa tumefanya.Ninyi mnafuatilia kila kitu cha Tanzania, kuanzia Bongo flavor, football ya Tanzania hadi siasa za Tanzania, hasa Magufuli, Lissu na wanamziki wote.
Diamond alikuja katika kampeni za uchaguzi wenu, baadhi ya viongozi wenu mumekuwa mkiwapa majina ya viongozi wa Tanzania (Fred Matiang'i/Magufuli).
Huku Tanzania inaweza kuputa mwezi mmoja bila kusikia redio au TVs station yoyote kupiga wimbo wa Kenya.
Kitendo cha Diamond kuitwa kufanya kampeni za Raila ni dhahiri kwamba tumewatawala sana
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Raw materials mnatengenezea nn? Wallahi kuwa mkenya ni mzigo mzito duniani apaAgain kenyans coming to tz to source for raw materials not vice versa









Ndiyo maana nkamuuliza raw materials wanatengenezea nn?Hahahaha, hahahaha, it is paining but you can't change the reality. We are the giant.
Why there is no a single one carrying finished goods coming to Tanzania?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app







dada wa kikenya leo kapost akiwa dar,kalikubali sana hili jengo,katika youtubers wanaokuja TZ huyo kaipatia sana dar na zenjCladding progress at Mzizima Towers
View attachment 2329250
View attachment 2329251
View attachment 2329252
View attachment 2329254
malighafi we ni kiazi sana siku tukiacha biashara nanyie kufa ni halali yenu tu..Again kenyans coming to tz to source for raw materials not vice versa
Kapiga mihogo , mishikaki na sharubati ya miwa coco beach . Halafu bei ni ya kawaida kabaki anashangaa. Mi kila youtuber wa kikenya anapokuja bongo anazungumzia usafi . Inaelekea huko Nairobi fly hakunaga garbage collectordada wa kikenya leo kapost akiwa dar,kalikubali sana hili jengo,katika youtubers wanaokuja TZ huyo kaipatia sana dar na zenj
Angalia na comments za wakenya kuhusu usafi,kule kwao swala la usafi awazingatii kabisaKapiga mihogo , mishikaki na sharubati ya miwa coco beach . Halafu bei ni ya kawaida kabaki anashangaa. Mi kila youtuber wa kikenya anapokuja bongo anazungumzia usafi . Inaelekea huko Nairobi fly hakunaga garbage collector
Again kenyans coming to tz to source for raw materials not vice versa
Tanzania ikikata supply yake ya siku 1 tu kunyaland inacollapse in no time!
Mnapata picha gan mkisikia vitu kama hiv kwenye hii awamu?
Mnapata picha gan mkisikia vitu kama hiv kwenye hii awamu?