Kwani wewe unafikiri nn kifanyike pale SGR central station zaidi ya kuwepo na taa zinazotoa reflection ya rangi hiyo? Anyway si kitu cha muhimu TRC wahakikishe reli inakamilika na inaanza operations!I hope stesheni ya dar waifanyie modifications kidogo iwe kama hvi usiku 👇
View attachment 2329302
Ilo jengo la stesheni dar usiku lipo dull sana ofcoz sio kitu cha muhimu ila kikifanyika kitapendezesha mji wakati wa usikuKwani wewe unafikiri nn kifanyike pale SGR central station zaidi ya kuwepo na taa zinazotoa reflection ya rangi hiyo? Anyway si kitu cha muhimu TRC wahakikishe reli inakamilika na inaanza operations!
Pole sana, umekwamilia screenshot za 2018 video and yet you want us to take you serious in 2022?. Kweli wenye wanakuita mandazi hawajakosea.
You can't separate Tanzania and Laziness. Construction of this building started in 2013, we are in 2022 and it's to yet to be completed. 88 Nairobi started in 2020 and already it's approaching top out.Cladding progress at Mzizima Towers
View attachment 2329250
View attachment 2329251
View attachment 2329252
View attachment 2329254
Laana ni noma kaka hasa ikitoka kwenye kinywa cha mzazi, tena kwa kosa lililofanyika dhahiri.Nilikuwa nasubiri nione kama kweli laana huwa inafanya kazi, now nmeamini aiseee, licha ya kupewa support na rais aliyepita lkn imeshindikana kabisa.

Unazunguka pale pale huoni aibu88 Nairobi, Prism and Upperhill Chambers standing side by side from tallest to shortest. The tower in the middle between 88 Nairobi and Prism tower is called 4th Ngong' tower, it's a 24 floors building.
View attachment 2329416








Safi sana. Naona nyasi bandia na taa kubwa