Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

dopchinski: Kuna article nimesoma kumbe ni kweli babu alimtolea maneno makali huyu baba yetu kwamba Urais utamponyoka baada ya kukaribia kuupata.

Ni baada ya baba na vijana wenzake kumtaka babu aachie madaraka kwenye chama alichokuwa akikiongoza kwa madai kwamba ameshazeeka.

Laana bila sababu haimpati mtu(kitabu kinasema hivyo bible).Lakini hapa baba alizingua kumdharau mzee wake tena akiwa ukumbini kwenye mkutano.
Nilikuwa nasubiri nione kama kweli laana huwa inafanya kazi, now nmeamini aiseee, licha ya kupewa support na rais aliyepita lkn imeshindikana kabisa.
 
Wacha kulazimisha mawazo yako potovu hapa bongolala. It's clear hiyo bati ya red ni fence ya ujenzi.

Eti filter! Unataka nikuonyeshe picha za Dar mlizojaza makeup ndio ujue filter ni nini?
Nakuambia hivi ile cku utanionesha mmeondoa haya maspider ndio uje tuongee
tapatalk_-1587693097_512x288.jpg
 
Jamen, nawakumbusha tu.. msisikilize ujumbe tu.. angalien na mazingira na magari yanavyoonekana kweny video yoyote inatoka kenya.. afu linganisheni na maneno yao humu ndan.. yan ni mbingu na nchi.. hakuna uhalisia😅View attachment 2329109View attachment 2329110View attachment 2329111
so hivi kwako, kwa hio macho yako finyuu.., between hapa na Hillbrow ama Alexandra in joburg, ama Kennedy-Road in durban ama Khayelitsha in cape town ni wapi ni afadhali 🤔🤔

Screenshot_20220820-111343_Google.jpg
 
Huo ndio ukweli japo unawachoma, Sasa Kama Tanzania ranks 2nd Africa kwa vivutio Afrika kwa vivutio vya utalii na amani, vipi unategemea watanzania wengi kutembelea Kenya ?

Waburundi wengi hutembelea Tanzania kuliko watanzania wanavyotembelea Burundi, wamalawi wengi hutembelea Tanzania kuliko watanzania wanavyotembelea Burundi, Wanamibia wengi hutembelea South Afrika kuliko wasouth Afrika wanavyotembelea Namibia,
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hawapendi kusikia maneno hayo
 
Bongolala, usishangae ya Diamond. Hadi Mbilia Bel aliitwa. Sasa DRC nao wanatutawala? Wewe unasumbuliwa na kasumba ya inferiority complex ambayo haitawahi kukutoka. Endeleeni kujua majina ya mawaziri wetu, magavana hadi manaibu wao. Wengine wetu hapa hata hatujui makamu wenu wa Rais ywaitwaje!
Naskia Tanzania pia wana waziri mkuu?
 
Bongolala, usishangae ya Diamond. Hadi Mbilia Bel aliitwa. Sasa DRC nao wanatutawala? Wewe unasumbuliwa na kasumba ya inferiority complex ambayo haitawahi kukutoka. Endeleeni kujua majina ya mawaziri wetu, magavana hadi manaibu wao. Wengine wetu hapa hata hatujui makamu wenu wa Rais ywaitwaje!
Mkijisahau mnawataja majina hadi waliokua wakuu wamikoa halaf saiz mnajifanya hamuwajui
 
Ila ligi yetu aisee imekuwa kubwa sana kwa ss, naona soon timu za Tz zinakwenda kuleta ushindani Africa, wazungu, wabrazil, wajapan, Wacongo, wa Ivory cost, wasenegali, wacameroon n.k wameanza kukimbilia ligi yetu ukiongezea na utamu wa maisha ya TZ basi watavutika wengi mno.
Hahahaha, wamuulize Josh Onyango atawaambia utamu wa Tanzania

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom